Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
24,333
44,286
Mwenyekiti Wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mbowe amekerwa na kitendo cha baadhi ya makada huko Tanga kutaka kuzuia mkutano usifanyike katika uwanja uliopangwa.

Ktk video clip hii hapa chini inaonesha Mh Mbowe akiwatolea uvivu baadhi ya viongozi wanaodhaniwa kuwa wa serikali wanaotumia Jeshi la Polisi vibaya ktk kuzuia mikutano na kugombani uwanja.

Mh Mbowe amewaambia Wananchi kuwa Jeshi la polisi lina kazi nyingi za msingi kulinda Usalama wa Raia, uharifu na magendo na hivyo kuwataka viongozi wa serikali wawache wafanya kazi zao za msingi za kuwaletea maendeleo wananchi

Mh Mbowe ameonekana akiwachana Live baadhi ya Wanaccm na kuwakejeli kuwa hata hivyo wanajisumbua tu kwa kuvaa sale za chama cha mapinduzi wakati hata hawafahamiki na chama hakiwajali na kuita kuwa Ccm ina wenyewe.


View: https://youtu.be/0a6_J3ZEdWE?si=ixlUYzcwUzWqCGJS
 
Huwa najiuliza ni wana CCM wangapi wame tambulishwa kwenye halamshauri kuu/kamti kuu na kupokelewa mwenyekiti wa CCM taifa walipojiunga huko CCM?
Ile ni mission ya mkubwa utake usitake utakubali tu Msigwa ni mwenzako.

Unadhani akina Msukuma wamefurahi?
 
Ile ni mission ya mkubwa utake usitake utakubali tu Msigwa ni mwenzako.

Unadhani akina Msukuma wamefurahi?
Shauri yao, kila siku wanasikia "CCM Ina WENYEWE" huwa wanadhani mwenye ccm ni nani? Angalia vijana wajanja wote waliopata vyeo wamepita Chadema. Wale UVCC siyo muda mrefu wataanza kumuhudumua kwa kumpelekea chai ofisini.
 
20240701_005919.jpg
 
Shauri yao, kila siku wanasikia "CCM Ina WENYEWE" huwa wanadhani mwenye ccm ni nani? Angalia vijana wajanja wote waliopata vyeo wamepita Chadema. Wale UVCC siyo muda mrefu wataanza kumuhudumua kwa kumpelekea chai ofisini.
You are very correct
 
BAVICHA ni mabosi wa UVCCM kila mtu anaechomoka chadema akienda ccm huishia kupigiwa saluti na watu wa ccm na hii inaonesha ccm imejaa mabogasi wenye ccm yao wanajua ndo maana mtu akitoka chadema lazima wenye ccm yao wampe cheo na vijana wa ccm ambao kazi yao ni kusifia tu wanaendelea na kazi yao ya kumsifia na huyo wa chadema kwa hiyo wanachama wa ccm waendelee kuvumilia nyama zipo chini
 
Mwenyekiti Wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mbowe amekerwa na kitendo cha baadhi ya makada huko Tanga kutaka kuzuia mkutano usifanyike katika uwanja uliopangwa.

Ktk video clip hii hapa chini inaonesha Mh Mbowe akiwatolea uvivu baadhi ya viongozi wanaodhaniwa kuwa wa serikali wanaotumia Jeshi la Polisi vibaya ktk kuzuia mikutano na kugombani uwanja.

Mh Mbowe amewaambia Wananchi kuwa Jeshi la polisi lina kazi nyingi za msingi kulinda Usalama wa Raia, uharifu na magendo na hivyo kuwataka viongozi wa serikali wawache wafanya kazi zao za msingi za kuwaletea maendeleo wananchi

Mh Mbowe ameonekana akiwachana Live baadhi ya Wanaccm na kuwakejeli kuwa hata hivyo wanajisumbua tu kwa kuvaa sale za chama cha mapinduzi wakati hata hawafahamiki na chama hakiwajali na kuita kuwa Ccm ina wenyewe.


View: https://youtu.be/0a6_J3ZEdWE?si=ixlUYzcwUzWqCGJS

Hii kazi aliiweza Lissu tu mpaka Kinana alitoka shimoni!! Mbowe anazungumzia Yale Yale ya miaka nenda rudi. Soon he will be alone
 
BAVICHA ni mabosi wa UVCCM kila mtu anaechomoka chadema akienda ccm huishia kupigiwa saluti na watu wa ccm na hii inaonesha ccm imejaa mabogasi wenye ccm yao wanajua ndo maana mtu akitoka chadema lazima wenye ccm yao wampe cheo na vijana wa ccm ambao kazi yao ni kusifia tu wanaendelea na kazi yao ya kumsifia na huyo wa chadema kwa hiyo wanachama wa ccm waendelee kuvumilia nyama zipo chini
Hili nalo wakalitazame.
 
Back
Top Bottom