sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 645
- 2,979
"Hiki chama kimebeba 'future' na Watanzania wamekiamini kwamba ndiyo chama pekee ambacho kinaweza kui-transform nchi kwa sasa," - JamesMbowe mwanachama wa Chadema ambaye mpaka sasa haijulikani ana cheo gani kwenye chama japo duru zinasema anaandaliwa kurithi mikoba ya mwenyekiti.