Uchaguzi 2020 Mbowe: Majenerali hawaondoki katikati ya vita!

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
9,510
13,658
Hii ni dhahiri Mbowe hana mpango wa kuachia madaraka hivi karibuni. Amesema Majenerali hawaondoki katikati ya vita mpaka wanafia vitani. Pia Amesema upinzani hakuna watu wa kujitolea wala maono ya kuendeleza mapambano! Hii maana yake ni kuwa hata uchaguzi unapofanyika ni njia ya kuzuga tu kwa kuwa viongozi rasmi wa chama wapo tayari.

Kwa hiyo bado yupo hadi kifo!
 
Hili jambo limenifikirisha sana mbowe anasema kuna wakati waandamizi wote wa chama walitimkia ngambo, yeye hakuona kama hilo ni jema kwa ustawi wa chama yeye alibakia katika kupambana nalo huku wale wenzie wakaona ni hatari kwa maisha na kuomba ukimbizi, nimetafakari sana juu ya hili, utapimia yupi ni mzalendo wa kweli ndani ya chadema
 
Jenerali anayesababisha vita inapaswa aondoke yeye kwanza kabla ya chochote
 
Hii ni dhahiri Mbowe hana mpango wa kuachia madaraka hivi karibuni. Amesema Majenerali hawaondoki katikati ya vita mpaka wanafia vitani. Pia Amesema upinzani hakuna watu wa kujitolea wala maono ya kuendeleza mapambano! Hii maana yake ni kuwa hata uchaguzi unapofanyika ni njia ya kuzuga tu kwa kuwa viongozi rasmi wa chama wapo tayari.

Kwa hiyo bado yupo hadi kifo!
Museveni amewahi ulizwa mbona umekaa sana madarakani unatakiwa kuondoka sasa upishe damu mpya

Akajibu kuwa amepigana vita msituni kwa zaidi ya muaka 30 akilala porini hakuna mwandishi wa habari au yeyote akiwahi mtaka atoke msituni apishe wengine

Kagame,Museveni na Mbowe ruksa kuendelea kuongoza vyama vyao na serikali

Mbowe nakuapisha kwa jina la Yesu usischie Chadema kwa wahamiaji akina Lisu waliokutq chama tayari kimeshajijenga wanakuja tu kula mema ya nchi ,posho na ruzuku

Nawasihi wajumbe cheo cha mwenyekiti msikabidhi wahamiaji wawindq fursa akiwemo Lisu na genge lake

Uenyekiti ubaki kwa akina Museveni, Kagame na Mbowe hadi wenyewe tu waamue kuacha wakabidhi wamtakaye

They have suffered a lot ndio maana hujitoa sana kifedha nk kuhakikisha chama kinaenda na nchi zao zinaenda tofauti na akina Lisu waja tu kufaidi pesa za chama wakati kuchangia chama wako zero

Nasena Mbowe mitano teno huyo mbelgiji aende zake huko
 
Hii ni dhahiri Mbowe hana mpango wa kuachia madaraka hivi karibuni. Amesema Majenerali hawaondoki katikati ya vita mpaka wanafia vitani. Pia Amesema upinzani hakuna watu wa kujitolea wala maono ya kuendeleza mapambano! Hii maana yake ni kuwa hata uchaguzi unapofanyika ni njia ya kuzuga tu kwa kuwa viongozi rasmi wa chama wapo tayari.

Kwa hiyo bado yupo hadi kifo!
Si alifeli shuleni huyu..? Naanza kuwaelewa kwanini anang'ang'ania. Hata musa hakiona kanani so atulize komwe
 
N
Museveni amewahi ulizwa mbona umekaa sana madarakani unatakiwa kuondoka sasa upishe damu mpya

Akajibu kuwa amepigana vita msituni kwa zaidi ya muaka 30 akilala porini hakuna mwandishi wa habari au yeyote akiwahi mtaka atoke msituni apishe wengine

Kagame,Museveni na Mbowe ruksa kuendelea kuongoza vyama vyao na serikali

Mbowe nakuapisha kwa jina la Yesu usischie Chadema kwa wahamiaji akina Lisu waliokutq chama tayari kimeshajijenga wanakuja tu kula mema ya nchi ,posho na ruzuku

Nawasihi wajumbe cheo cha mwenyekiti msikabidhi wahamiaji wawindq fursa akiwemo Lisu na genge lake

Uenyekiti ubaki kwa akina Museveni, Kagame na Mbowe hadi wenyewe tu waamue kuacha wakabidhi wamtakaye

They have suffered a lot ndio maana hujitoa sana kifedha nk kuhakikisha chama kinaenda na nchi zao zinaenda tofauti na akina Lisu waja tu kufaidi pesa za chama wakati kuchangia chama wako zero

Nasena Mbowe mitano teno huyo mbelgiji aende zake huko
Nani alikufungulia hii account ya JF? maana Kwa hiki ulichoandika sina shaka kabisa na uwezo wako wa kufikiri
 
Hii ni dhahiri Mbowe hana mpango wa kuachia madaraka hivi karibuni. Amesema Majenerali hawaondoki katikati ya vita mpaka wanafia vitani. Pia Amesema upinzani hakuna watu wa kujitolea wala maono ya kuendeleza mapambano! Hii maana yake ni kuwa hata uchaguzi unapofanyika ni njia ya kuzuga tu kwa kuwa viongozi rasmi wa chama wapo tayari.

Kwa hiyo bado yupo hadi kifo!
Ni jenerali mpumbavu tu anaweza kuondoka katikati ya vita
 
Back
Top Bottom