Mbowe hakuna alikomchafua lisu tena alikwepa sana kuongea mengi yanayomhusu.Ukisikiliza mazungumzo ya Mbowe ni dhahiri ameanza kumchafua Lisu hiyo ni dalili ya kushindwa.
Lisu yeye anajenga hoja
Na wewe umemkimbia mbowe ccm?Ukisikiliza mazungumzo ya Mbowe ni dhahiri ameanza kumchafua Lisu hiyo ni dalili ya kushindwa.
Lisu yeye anajenga hoja
we ni mchonganishi mbowe anabusara hawezi kufanya hicho kitu huyo jama yenu ndiyo hana hoja anamchafua mboweUkisikiliza mazungumzo ya Mbowe ni dhahiri ameanza kumchafua Lisu hiyo ni dalili ya kushindwa.
Lisu yeye anajenga hoja
Lumumba fc.....Wapi Lissi kamchafua? Mtu akikuita We Fisadi na ukawa hujibu utakuwa umetukanwa.?Mbowe hakuna alikomchafua lisu tena alikwepa sana kuongea mengi yanayomhusu.
Lisu ndo anaropoka kumchafua Mbowe akisaidiana na wajinga kama wewe walio mitandaoni
Kuna hoja yoyote Lissu kawahi kujenga?Ukisikiliza mazungumzo ya Mbowe ni dhahiri ameanza kumchafua Lisu hiyo ni dalili ya kushindwa.
Lisu yeye anajenga hoja
Hoja ya Mbowe kubunya minoti ya Mama Kizim kazi siyo hoja?...Kuna hoja yoyote Lissu kawahi kujenga?