Bwashe sometimes ficha upumbavu wako.Mbowe ni CCM 😀
Ngoja tuoneTuache unafiki Mbowe hapedwi na watu wa CCM kwasababu moja tu anajua kuongoza, street smart, haongeki, ana heshimika na anajua kuongoza. Kuna wanasiasa wengi sana ni wazuri wa kuongea tu lakini huwezi kuwapa hata mradi wa kuku.
Mwanaccm anafichaje upumbavu? unayakumbuka ya Nape Bukoba?Bwashe sometimes ficha upumbavu wako.
Amiri ninachokuambia Mbowe, Mzee Mtei na hayati Bob Makani wote kutoka Benki Kuu ya Tanzania hawajawahi kuhama CCM 🐼Bwashe sometimes ficha upumbavu wako.
Kuwa mwanachama ni kuwa na kadi mfu ya uanachama au kuwa mwanachama hai wa chama husika? Kama Mbowe ni CCM tuletee ushahidi kuwa 2023 au 2024 alilipia kadi yake ya CCM?Amiri ninachokuambia Mbowe, Mzee Mtei na hayati Bob Makani wote kutoka Benki Kuu ya Tanzania hawajawahi kuhama CCM 🐼
Kwahiyo CCM mmemchoka Mh Mbowe mnataka Cdm waweke mwenyekit mwingine!Hv hapo chademani hakuna mwngn mwenye uwezo wa kuongoza chama
Na kwann n yeye miaka yote?Kwahiyo CCM mmemchoka Mh Mbowe mnataka Cdm waweke mwenyekit mwingine!
Kwasababu Chadema wamependa iwe hivyo na katiba ya chama inaruhusu, swali, haya nyie CCM kwanini mnaumia?Na kwann n yeye miaka yote?
Huyo Mshamba akisikia Mbowe lazima aende uani, nishampiga tofali kitamboKwasababu Chadema wamependa iwe hivyo na katiba ya chama inaruhusu, swali, haya nyie CCM kwanini mnaumia?
Sasa mbona na nyie mnaumia mkisikia form n moja kule ccmKwasababu Chadema wamependa iwe hivyo na katiba ya chama inaruhusu, swali, haya nyie CCM kwanini mnaumia?
Umenipiga tofali kitambo huku nasoma mada zako na nafanya yote kama vile hujaniblock 😂Huyo Mshamba akisikia Mbowe lazima aende uani, nishampiga tofali kitambo
Aliyehongwa ni aliyewapokea. Maana Chadema walisema wamewafukuza akiwemo na Mbowe. Anatajwaje kuwa alihongwa? Au mm ndo sijaelewaMleta mada ww nadhan utakuwa ulikuwa Bar ushalewa...haongeki hao 19 walioko Bungeni kama viti maalumu nani aliongwa ili waingie.
Kuhama ni kufanya tendo gani kwani?Amiri ninachokuambia Mbowe, Mzee Mtei na hayati Bob Makani wote kutoka Benki Kuu ya Tanzania hawajawahi kuhama CCM 🐼