Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,981
- 19,267
Freeman Mbowe angesikiliza watu wanaomuambia astaafu amuachie Lissu, Chadema kingekuwa ni chama ambacho kinatoa uongozi kwa kurithishana badala ya demokrasia, hii ingekifanya kuonekana bado ni mali ya Mbowe na wanaomzunguka badala ya taasisi ya wanachama wote
Sasa tunasubiri kuona kama atamuonyesha Lissu ushirikiano badala ya kumuwekea vigingi kwenye muelekeo mpya anaotaka kuipeleka CHADEMA.
Sababu bado ana nguvu sana CHADEMA licha ya kuwa ameshindwa, ana wajumbe karibia nusu wanaomuunga mkono.
Pia soma
Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
Sasa tunasubiri kuona kama atamuonyesha Lissu ushirikiano badala ya kumuwekea vigingi kwenye muelekeo mpya anaotaka kuipeleka CHADEMA.
Sababu bado ana nguvu sana CHADEMA licha ya kuwa ameshindwa, ana wajumbe karibia nusu wanaomuunga mkono.
Pia soma
Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi