Hiyo hela weka utt uendelee kusomaKaka naomba ushauri 😭 achana na hicho kibonzo
Ningekushauri ununue tende nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi halafu uwe unauza mwezi wa Ramadhan utatoboa chap.View attachment 3252923
Mimi ni Wakiume bado ni Mwanafunzi wa chuo flani hapa Dar es salaam lakini ni nimepata kapesa kadogo .Nipo na 4.5Million nifanye biashara gani ase maaana sitaki kapotee? 😭😭
Mwendo Wa Roho MkononiChukua nusu weka hapa. Uhakika biashara ishafanyika ndani huko,View attachment 3252929 we huchangii chochote.