The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Habari ndugu wadau.
Kuna jambo la kuelimishana hapa kwa wabobezi wa Masuala ya Uchumi.
Inakuaje Mkoa wa Mbeya ambao uko namba 3 Kuchangia Pato la Taifa yaani GDP na pia iko namba 4 Kwa kuwa na watu wenye kipato cha juu yaani Per Capita Income yet makusanyo yake ya TRA ni only Bil.69 kwa Mwaka huku ikizidiwa na Kagera ambayo ni Kati ya Mikoa inayotajwa kuwa ni Maskini?
Kiuchumi hii inakuaje ndugu wabobezi. Nauliza hivi kwa sababu Mikoa Mingine Inayochangia GDP kubwa pia inachangua Mapato mengi kuko TRA.
Scenario hii ya Mbeya iko pia Mkoa wa Ruvuma. Nahisi TRA hawakusanyi mapato ya Kutosha 👇
Kuna jambo la kuelimishana hapa kwa wabobezi wa Masuala ya Uchumi.
Inakuaje Mkoa wa Mbeya ambao uko namba 3 Kuchangia Pato la Taifa yaani GDP na pia iko namba 4 Kwa kuwa na watu wenye kipato cha juu yaani Per Capita Income yet makusanyo yake ya TRA ni only Bil.69 kwa Mwaka huku ikizidiwa na Kagera ambayo ni Kati ya Mikoa inayotajwa kuwa ni Maskini?
Kiuchumi hii inakuaje ndugu wabobezi. Nauliza hivi kwa sababu Mikoa Mingine Inayochangia GDP kubwa pia inachangua Mapato mengi kuko TRA.
Scenario hii ya Mbeya iko pia Mkoa wa Ruvuma. Nahisi TRA hawakusanyi mapato ya Kutosha 👇