LGE2024 Mbarali: CHADEMA yashinda vitongoji 4 kati ya 7 na CCM vitongoji 2

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,956
5,324
Katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi katika kijiji cha Itamba, wilayani Mbarali, kwa kushinda vitongoji vinne kati ya saba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika vitongoji viwili, huku kitongoji kimoja cha Mapangala kikikataa wagombea wote kwa kura nyingi za "HAPANA".

Matokeo ya kitongoji cha Mapangala yalikuwa kama ifuatavyo:

  • CCM: Kura 61
  • HAPANA: Kura 220

Kutokana na matokeo haya, CHADEMA inatarajiwa kuongoza halmashauri ya kijiji cha Itamba.
Screenshot 2024-11-28 093644.png
Screenshot 2024-11-28 093702.png
 
Katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi katika kijiji cha Itamba, wilayani Mbarali, kwa kushinda vitongoji vinne kati ya saba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika vitongoji viwili, huku kitongoji kimoja cha Mapangala kikikataa wagombea wote kwa kura nyingi za "HAPANA".

Matokeo ya kitongoji cha Mapangala yalikuwa kama ifuatavyo:

  • CCM: Kura 61
  • HAPANA: Kura 220

Kutokana na matokeo haya, CHADEMA inatarajiwa kuongoza halmashauri ya kijiji cha Itamba.
Na hicho kimoja wamegawana?
 
Katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi katika kijiji cha Itamba, wilayani Mbarali, kwa kushinda vitongoji vinne kati ya saba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika vitongoji viwili, huku kitongoji kimoja cha Mapangala kikikataa wagombea wote kwa kura nyingi za "HAPANA".

Matokeo ya kitongoji cha Mapangala yalikuwa kama ifuatavyo:

  • CCM: Kura 61
  • HAPANA: Kura 220

Kutokana na matokeo haya, CHADEMA inatarajiwa kuongoza halmashauri ya kijiji cha Itamba.
Safi sana
 
Jana nimepiga kura Ila niseme CCM wajifunze kushindana Kwa haki ili waweze kujua Kama bado wanakubarika au hapana .

Swala la kuwakata wagombea
Kuingiza kura fake n.k.
Unachosema ni sahihi kabisa ndugu. Sisi kwetu majina yalifutika wakati sijaonajina langu nikasema naondoka Mara wakaniita usiondoke utapiga kweli nikapiga Cha ajabu wakati natoka Kuna mtu wa ccm akaniita uje upige Tena baadaye kweli nikarudi ili nijue ni nini wanafanyaga. Hawa jamaa ni wa hovyo sana hawajiamini kabisa na sababu wanajua hawakubariki na ndiyo maana WANAUWA hata wapinzani. Niliporudi nikaambiwa piga Tena nikapewa karatasi 5 Sasa uzuri zilikua hazijapigwa tiki basi nikaenda kutiki moja nikawapa ccm nne nikawapa chadema na Ile ya kwanza niliyopiga bila kuitwa niliwapa chadema jumla Zikawa 5. Maana nimepiga kula 6 Jana.
 
Unachosema ni sahihi kabisa ndugu. Sisi kwetu majina yalifutika wakati sijaonajina langu nikasema naondoka Mara wakaniita usiondoke utapiga kweli nikapiga Cha ajabu wakati natoka Kuna mtu wa ccm akaniita uje upige Tena baadaye kweli nikarudi ili nijue ni nini wanafanyaga. Hawa jamaa ni wa hovyo sana hawajiamini kabisa na sababu wanajua hawakubariki na ndiyo maana WANAUWA hata wapinzani. Niliporudi nikaambiwa piga Tena nikapewa karatasi 5 Sasa uzuri zilikua hazijapigwa tiki basi nikaenda kutiki moja nikawapa ccm nne nikawapa chadema na Ile ya kwanza niliyopiga bila kuitwa niliwapa chadema jumla Zikawa 5. Maana nimepiga kula 6 Jana.
😁😁😁 duh! Ccm itakuwa wameishiwa mbinu kabisa.
 
Katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi katika kijiji cha Itamba, wilayani Mbarali, kwa kushinda vitongoji vinne kati ya saba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika vitongoji viwili, huku kitongoji kimoja cha Mapangala kikikataa wagombea wote kwa kura nyingi za "HAPANA".

Matokeo ya kitongoji cha Mapangala yalikuwa kama ifuatavyo:

  • CCM: Kura 61
  • HAPANA: Kura 220

Kutokana na matokeo haya, CHADEMA inatarajiwa kuongoza halmashauri ya kijiji cha Itamba.
Tuwe watulivu tusubiri matokeo yatakayotangazwa na tume. Huyo Libe kachanganyikiwa.

Mbarali ni ngome ya CCM miaka yote na haitobadilika.
 
Alafu jamaa wa chadema akashinda.

Yes hawana great thinkers ambao wanaweza kuwasaidia kuwa wabunifu na kugusa zile core areas .

Huwa nafatilia Sana siasa naona kuna ombwe kubwa la watu linahitajika in both sides opposition and Ccm.

Ni kuwa Great thinkers wengi wameamua kuwa observers wa siasa na kuwacha low thinkers kuongoza nchi.
 
Yes hawana great thinkers ambao wanaweza kuwasaidia kuwa wabunifu na kugusa zile core areas .

Huwa nafatilia Sana siasa naona kuna ombwe kubwa la watu linahitajika in both sides opposition and Ccm.

Ni kuwa Great thinkers wengi wameamua kuwa observers wa siasa na kuwacha low thinkers kuongoza nchi.
Sahihi kabisa uwezi amini Kuna wajinga wakiambiwa kauwe wanauwa. Uwezo wa kufikiri upo chini sana.
 
Back
Top Bottom