Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,956
- 5,324
Katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata ushindi katika kijiji cha Itamba, wilayani Mbarali, kwa kushinda vitongoji vinne kati ya saba. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi katika vitongoji viwili, huku kitongoji kimoja cha Mapangala kikikataa wagombea wote kwa kura nyingi za "HAPANA".
Matokeo ya kitongoji cha Mapangala yalikuwa kama ifuatavyo:
Kutokana na matokeo haya, CHADEMA inatarajiwa kuongoza halmashauri ya kijiji cha Itamba.
Matokeo ya kitongoji cha Mapangala yalikuwa kama ifuatavyo:
- CCM: Kura 61
- HAPANA: Kura 220
Kutokana na matokeo haya, CHADEMA inatarajiwa kuongoza halmashauri ya kijiji cha Itamba.