Vitu vingine sio vyakubishana inaonekana hamna shughuli za kufanya.Google ujue ukubwaHabari za jioni
Kuna kaubishani kametokea site, sasa vijana wameshiba wanabishana kati ya Mbagala na Gongo la Mboto ipi kubwa zaidi?
Kwa anayejua ningependa kufahamu
Thank you
Gily tumia muda wako kupanga future yako hao wanaobishania hayo mambo ndio ukomo wao wa kufikiri ulipofikia USIWAIGE..kesho inakusubiriHabari za jioni
Kuna kaubishani kametokea site, sasa vijana wameshiba wanabishana kati ya Mbagala na Gongo la Mboto ipi kubwa zaidi?
Kwa anayejua ningependa kufahamu
Thank you
Mmeshafungua shule ????Habari za jioni
Kuna kaubishani kametokea site, sasa vijana wameshiba wanabishana kati ya Mbagala na Gongo la Mboto ipi kubwa zaidi?
Kwa anayejua ningependa kufahamu
Thank you