Mazingira na hali ya siasa ya Tanzania imeimarika na kuboreshwa mno katika awamu ya sita ukilinganisha na kipindi kilichopita

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
15,394
17,488
Kwamba sasa mazingira ya kufanya kazi za siasa ni sawa, lakini kuna uhuru wa kufanya siasa bila mipaka, vizuizi wala vipingamizi ilimradi tu kufuata na kuzingatia sheri na kuzitii bila shuruti, kiburi au ukaidi...

Uhuru kwa vyama vya siasa kukusanyika kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara bila kuzuiwa.
uhuru wa kuijieleza na kutoa taarifa au maoni kupitia vyombo vya habari ukilinganisha na kipindi kilichopita...

Uhuru na haki kwa vyama vya siasa kufanya maandamano ya amani na kuwasilisha madai, malalamiko, hoja, mapendekezo na maoni yao kwenye taasisi, idara, mamlaka, mashirika ya kitaifa na kimataifa kadiri waandamanaji wanavyoona inafaa n.k

Uwajibikaji serikali katika kuwatumikia wananchi, uwazi na utawala bora wa Sheria vina tekelezwa kikamilifu licha ya kasoro na dosari kidogo za kibinadamu za hapa na pale...

Mifumo ya utoaji haki na huduma kwa wananchi imeimarika zaidi huku mahitaji muhimu ya wananchi yakitolewa kwa kuzingatia muda, mathalani huko kwenye vyombo vya kutolea haki n.k..

Uhuru wa vyombo vya habari na mazingira bora ya kupata na kutoa habari, yameboreshwa na yana usawa zaidi ukilinganisha na kipindi kipindi kingine na hali hii imepelekea kuibuka au kuanzishwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi nchini Tanzania...

Umoja, amani na utulivu pia vimeimarika sana, katika awamu hii ya sita chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwasabb ya mazingira bora ya uhuru, haki na usawa katika kufanya siasa miongoni mwa vyama vya siasa na utoaji huduma kwa haki na usawa kwa wananchi...

Kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini pia kumechochea huduma za kijamii kama vile maji, afya, elimu, kilimo, miundombinu, uvuvi, usafishaji n.k kuimarisha zaidi..

Hayo ni kwa uchache tu,
ukweli ni kwamba Dr Samia Suluhu Hassan Rais na kipenzi cha waTanzania, amaifungua nchi ni vile tu baadhi ya wanasiasa wa Tanzania wamezoea ukaidi ili kupata huruma ya wananchi wanapotiwa nguvuni kwa kukiuka sheria na kuhatarisha amani kwa kuendekeza siasa za fujo, wanashindwa kuacha kudeka na kukaidi kutii sheria bila shuruti na matokeo yake kwa makusudi wanakutana na mkono wa sheria ili baadae wapate cha kuwaambia wananchi ili waonewe huruma..

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Magulification must go on.

Najua Zitto kabwe alikiri makosa waliyofanya upinzani Tanzania baada ya kifo cha Rais mpendwa, Hayati Rais John Pombe Magufuli.

Kwamba walichangia kwa kiasi kikubwa mazingira mabovu ya wanja la siasa
==============
 
kwamba sasa mazingira ya kufanya kazi za siasa ni sawa, lakini kuna uhuru wa kufanya siasa bila mipaka, vizuizi wala vipingamizi ilimradi tu kufuata na kuzingatia sheri na kuzitii bila shuruti, kiburi au ukaidi...
☝🏿Unataka kudai hawa wapinzani wanazingatia sheria? Bila shuruti? Umemuona 'Sugu'?
uhuru kwa vyama vya siasa kukusanyika kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara bila kuzuiwa.
uhuru wa kuijieleza na kutoa taarifa au maoni kupitia vyombo vya habari ukilinganisha na kipindi kilichopita...
☝🏿Huo ni uwongo. Uhuru wa kufanya mikutano ya ndani ulikuwepo na hata hiyo ya nje haikuzuiwa, sema kulikuwa na masharti ya kufanya mikutano ya hadhara. Na maoni yalikuwa yakisikilizwa....
uhuru na haki kwa vyama vya siasa kufanya maandamano ya amani na kuwasilisha madai, malalamiko, hoja, mapendekezo na maoni yao kwenye taasisi, idara, mamlaka, mashirika ya kitaifa na kimataifa kadiri waandamanaji wanavyoona inafaa n.k
Kama itakumbukwa, ni wakati wa Hayat Rais Magufuli ndipo tulipoona Wananchi wakiwasilisha madai na malalamiko yao-kwa mabango-hayo juu uliyoyaandika yana ukakasi.
uwajibikaji serikali katika kuwatumikia wananchi,
Hakuna kipindi chechote katika historia ya Tanzania ambapo Serikali ya Tanzania iliwajibika kuwahudumia Wananchi-Serikali ya Hayat Rais Magufuli iliwajibika na inapaswa kupewa maua yake.
uwazi na utawala bora wa Sheria vina tekelezwa kikamilifu licha ya kasoro na dosari kidogo za kibinadamu za hapa na pale...
🙄🤭
mifumo ya utoaji haki na huduma kwa wananchi imeimarika zaidi huku mahitaji muhimu ya wananchi yakitolewa kwa kuzingatia muda, mathalani huko kwenye vyombo vya kutolea haki n.k..
Serikali ya Hayati Rais John Pombe ilikuwa ni ya wateteaji, waulize wananchi. Je Unakumbuka Poll iliyofanywa na Citizens?
uhuru wa vyombo vya habari na mazingira bora ya kupata na kutoa habari, yameboreshwa na yana usawa zaidi ukilinganisha na kipindi kipindi kingine na hali hii imepelekea kuibuka au kuanzishwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi nchini Tanzania...

umoja, amani na utulivu pia vimeimarika sana, katika awamu hii ya sita chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwasabb ya mazingira bora ya uhuru, haki na usawa katika kufanya siasa miongoni mwa vyama vya siasa na utoaji huduma kwa haki na usawa kwa wananchi...
Tanzania, sehemu yeyote ile Duniani, inajulikana kwa Umoja amani na utulivu-utueleze sisi Watanzania, lini tulikosa amani na utulivu?
kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini pia kumechochea huduma za kijamii kama vile maji, afya, elimu, kilimo, miundombinu, uvuvi, usafishaji n.k kuimarisha zaidi..
☝🏿 Huduma za Kijamii, Afya, Elimu -miundombinu n.k-vilikuwa vimepewa vipaumbele katika Serikali ya Hayat Rais na kulingana na vyanzo vikubwa vya habari-mapinduzi makubwa ya Kiuchumi na Kijamii yalifanyika katika kipindi kilichopita that is a fact. Haya matunda unayoona, yanatokana na Sera za Serikali iliyopita. That is a fact. Jiulize, ni sera gani iliyobadilika. Kugawa Rasilimali za Nchi?
hayo ni kwa uchache tu,
ukweli ni kwamba Dr Samia Suluhu Hassan Rais na kipenzi cha waTanzania, amaifungua nchi ni vile tu baadhi ya wanasiasa wa Tanzania wamezoea ukaidi ili kupata huruma ya wananchi wanapotiwa nguvuni kwa kukiuka sheria na kuhatarisha amani kwa kuendekeza siasa za fujo, wanashindwa kuacha kudeka na kukaidi kutii sheria bila shuruti na matokeo yake kwa makusudi wanakutana na mkono wa sheria ili baadae wapate cha kuwaambia wananchi ili waonewe huruma..

Mungu Ibariki Tanzania 🐒

Mkuu, kwanini mnatufanya Watanzania ni "Mazuzu"?

Kwanini mnaendeleza propaganda hasi?
 
kwamba sasa mazingira ya kufanya kazi za siasa ni sawa, lakini kuna uhuru wa kufanya siasa bila mipaka, vizuizi wala vipingamizi ilimradi tu kufuata na kuzingatia sheri na kuzitii bila shuruti, kiburi au ukaidi...

uhuru kwa vyama vya siasa kukusanyika kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara bila kuzuiwa.
uhuru wa kuijieleza na kutoa taarifa au maoni kupitia vyombo vya habari ukilinganisha na kipindi kilichopita...

uhuru na haki kwa vyama vya siasa kufanya maandamano ya amani na kuwasilisha madai, malalamiko, hoja, mapendekezo na maoni yao kwenye taasisi, idara, mamlaka, mashirika ya kitaifa na kimataifa kadiri waandamanaji wanavyoona inafaa n.k

uwajibikaji serikali katika kuwatumikia wananchi, uwazi na utawala bora wa Sheria vina tekelezwa kikamilifu licha ya kasoro na dosari kidogo za kibinadamu za hapa na pale...


mifumo ya utoaji haki na huduma kwa wananchi imeimarika zaidi huku mahitaji muhimu ya wananchi yakitolewa kwa kuzingatia muda, mathalani huko kwenye vyombo vya kutolea haki n.k..

uhuru wa vyombo vya habari na mazingira bora ya kupata na kutoa habari, yameboreshwa na yana usawa zaidi ukilinganisha na kipindi kipindi kingine na hali hii imepelekea kuibuka au kuanzishwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi nchini Tanzania...

umoja, amani na utulivu pia vimeimarika sana, katika awamu hii ya sita chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwasabb ya mazingira bora ya uhuru, haki na usawa katika kufanya siasa miongoni mwa vyama vya siasa na utoaji huduma kwa haki na usawa kwa wananchi...

kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini pia kumechochea huduma za kijamii kama vile maji, afya, elimu, kilimo, miundombinu, uvuvi, usafishaji n.k kuimarisha zaidi..

hayo ni kwa uchache tu,
ukweli ni kwamba Dr Samia Suluhu Hassan Rais na kipenzi cha waTanzania, amaifungua nchi ni vile tu baadhi ya wanasiasa wa Tanzania wamezoea ukaidi ili kupata huruma ya wananchi wanapotiwa nguvuni kwa kukiuka sheria na kuhatarisha amani kwa kuendekeza siasa za fujo, wanashindwa kuacha kudeka na kukaidi kutii sheria bila shuruti na matokeo yake kwa makusudi wanakutana na mkono wa sheria ili baadae wapate cha kuwaambia wananchi ili waonewe huruma..

Mungu Ibariki Tanzania 🐒


Vijana wa CCM hapa ndio mnafeli

Tena mnafeli Sana, mnakuwa kama Yule msaidizi wa Sadam hussen

Mnadhania Tanzania ya Leo ni ya watu ambao wako kwenye Giza

I'm very sure Moyo wako unapishana Sana na mikono yako inachoandika
 
☝🏿Unataka kudai hawa wapinzani wanazingatia sheria? Bila shuruti? Umemuona 'Sugu'?

☝🏿Huo ni uwongo. Uhuru wa kufanya mikutano ya ndani ulikuwepo na hata hiyo ya nje haikuzuiwa, sema kulikuwa na masharti ya kufanya mikutano ya hadhara. Na maoni yalikuwa yakisikilizwa....

Kama itakumbukwa, ni wakati wa Hayat Rais Magufuli ndipo tulipoona Wananchi wakiwasilisha madai na malalamiko yao-kwa mabango-hayo juu uliyoyaandika yana ukakasi.

Hakuna kipindi chechote katika historia ya Tanzania ambapo Serikali ya Tanzania iliwajibika kuwahudumia Wananchi-Serikali ya Hayat Rais Magufuli iliwajibika na inapaswa kupewa maua yake.

🙄🤭

Serikali ya Hayati Rais John Pombe ilikuwa ni ya wateteaji, waulize wananchi. Je Unakumbuka Poll iliyofanywa na Citizens?

Tanzania, sehemu yeyote ile Duniani, inajulikana kwa Umoja amani na utulivu-utueleze sisi Watanzania, lini tulikosa amani na utulivu?

☝🏿 Huduma za Kijamii, Afya, Elimu -miundombinu n.k-vilikuwa vimepewa vipaumbele katika Serikali ya Hayat Rais na kulingana na vyanzo vikubwa vya habari-mapinduzi makubwa ya Kiuchumi na Kijamii yalifanyika katika kipindi kilichopita that is a fact. Haya matunda unayoona, yanatokana na Sera za Serikali iliyopita. That is a fact. Jiulize, ni sera gani iliyobadilika. Kugawa Rasilimali za Nchi?


Mkuu, kwanini mnatufanya Watanzania ni "Mazuzu"?

Kwanini mnaendeleza propaganda hasi?
sijaona mahali unapinga ukweli huo kwa hoja na maoni mbadala
☝🏿Unataka kudai hawa wapinzani wanazingatia sheria? Bila shuruti? Umemuona 'Sugu'?

☝🏿Huo ni uwongo. Uhuru wa kufanya mikutano ya ndani ulikuwepo na hata hiyo ya nje haikuzuiwa, sema kulikuwa na masharti ya kufanya mikutano ya hadhara. Na maoni yalikuwa yakisikilizwa....

Kama itakumbukwa, ni wakati wa Hayat Rais Magufuli ndipo tulipoona Wananchi wakiwasilisha madai na malalamiko yao-kwa mabango-hayo juu uliyoyaandika yana ukakasi.

Hakuna kipindi chechote katika historia ya Tanzania ambapo Serikali ya Tanzania iliwajibika kuwahudumia Wananchi-Serikali ya Hayat Rais Magufuli iliwajibika na inapaswa kupewa maua yake.

🙄🤭

Serikali ya Hayati Rais John Pombe ilikuwa ni ya wateteaji, waulize wananchi. Je Unakumbuka Poll iliyofanywa na Citizens?

Tanzania, sehemu yeyote ile Duniani, inajulikana kwa Umoja amani na utulivu-utueleze sisi Watanzania, lini tulikosa amani na utulivu?

☝🏿 Huduma za Kijamii, Afya, Elimu -miundombinu n.k-vilikuwa vimepewa vipaumbele katika Serikali ya Hayat Rais na kulingana na vyanzo vikubwa vya habari-mapinduzi makubwa ya Kiuchumi na Kijamii yalifanyika katika kipindi kilichopita that is a fact. Haya matunda unayoona, yanatokana na Sera za Serikali iliyopita. That is a fact. Jiulize, ni sera gani iliyobadilika. Kugawa Rasilimali za Nchi?


Mkuu, kwanini mnatufanya Watanzania ni "Mazuzu"?

Kwanini mnaendeleza propaganda hasi?
nadhani tupo pamoja,

mambo ya dhihaka kwa waTanzania daima huwa ni kutoka kwa wale wanaoshindwaga uchaguzi, wakikataliwa kwewnye box la kura hupata mihemko na ghadhabu, na ndio sasa hudhihaki wananchi kama ambavyo umeharibu kusingizia wasio husika hapo juu....

hii sio propaganda ni ukweli mtupu,
na ndio maana hata wewe sioni mahali ambapo unatofautiana na mimi. nachokiona kwakwo umejaribu tu kutofautisha hali ya kipindi kilichopita na sasa hivi katila awamu ya sita, kutu ambacho ndiyo hoja yenyewe ya msingi kiundani...

lakini pia umeonyesha tu dosari na kasoro za kawaida katika utebdanji na utekelezaji wa sheria, lakini kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko na mapinnduzi makubwa mno yamefanyika kuimarisha demokrasia nchini, chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan,, :BASED:
 
Hiki ulichoandika unaamanisha au unatania? Yaani mwanasiasa anatembezewa kichapo kama jambazi mbele ya kamishna wa polisi alafu unasema kuna uhuru wa kufanya siasa kweli? Du haya Boss.
natania vip hali ya kua mambo ni bayana kabisa tena mchana kweupe gentleman?

makaidi wa kutii sheria bila shuruti ni lazma wawe neutralized ili kudhibiti hali ya utulivu eneo husika, hiyo ni kawaida kabisa popote duniani:BASED:
 
muhimu ni ukweli usemwe na usisitizwe vyema na kujulikana bayana jamii nzoma kitaofa na kimataifa kwamba hali ya siasa na demokrasia Tanzania imeimarika zaidi kuliko walati mwingine wote,

hii ya kubabaika na sijui ati umuite nani nini,
kwa wangwana tulio makini na watulivu ni useless na nonsense kabisa...

na nashauri kama inakusaidia kupata walau juice mezani, basi ni muhimu zaidi uongeze bidii zaidi ya kuita wengine na mimi hovyo hovyo zaidi na itakupendeza zaid, right?
 
kwamba sasa mazingira ya kufanya kazi za siasa ni sawa, lakini kuna uhuru wa kufanya siasa bila mipaka, vizuizi wala vipingamizi ilimradi tu kufuata na kuzingatia sheri na kuzitii bila shuruti, kiburi au ukaidi...

uhuru kwa vyama vya siasa kukusanyika kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara bila kuzuiwa.
uhuru wa kuijieleza na kutoa taarifa au maoni kupitia vyombo vya habari ukilinganisha na kipindi kilichopita...

uhuru na haki kwa vyama vya siasa kufanya maandamano ya amani na kuwasilisha madai, malalamiko, hoja, mapendekezo na maoni yao kwenye taasisi, idara, mamlaka, mashirika ya kitaifa na kimataifa kadiri waandamanaji wanavyoona inafaa n.k

uwajibikaji serikali katika kuwatumikia wananchi, uwazi na utawala bora wa Sheria vina tekelezwa kikamilifu licha ya kasoro na dosari kidogo za kibinadamu za hapa na pale...


mifumo ya utoaji haki na huduma kwa wananchi imeimarika zaidi huku mahitaji muhimu ya wananchi yakitolewa kwa kuzingatia muda, mathalani huko kwenye vyombo vya kutolea haki n.k..

uhuru wa vyombo vya habari na mazingira bora ya kupata na kutoa habari, yameboreshwa na yana usawa zaidi ukilinganisha na kipindi kipindi kingine na hali hii imepelekea kuibuka au kuanzishwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi nchini Tanzania...

umoja, amani na utulivu pia vimeimarika sana, katika awamu hii ya sita chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwasabb ya mazingira bora ya uhuru, haki na usawa katika kufanya siasa miongoni mwa vyama vya siasa na utoaji huduma kwa haki na usawa kwa wananchi...

kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini pia kumechochea huduma za kijamii kama vile maji, afya, elimu, kilimo, miundombinu, uvuvi, usafishaji n.k kuimarisha zaidi..

hayo ni kwa uchache tu,
ukweli ni kwamba Dr Samia Suluhu Hassan Rais na kipenzi cha waTanzania, amaifungua nchi ni vile tu baadhi ya wanasiasa wa Tanzania wamezoea ukaidi ili kupata huruma ya wananchi wanapotiwa nguvuni kwa kukiuka sheria na kuhatarisha amani kwa kuendekeza siasa za fujo, wanashindwa kuacha kudeka na kukaidi kutii sheria bila shuruti na matokeo yake kwa makusudi wanakutana na mkono wa sheria ili baadae wapate cha kuwaambia wananchi ili waonewe huruma..

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Zanzibar Gang
 
Vijana wa CCM hapa ndio mnafeli

Tena mnafeli Sana, mnakuwa kama Yule msaidizi wa Sadam hussen

Mnadhania Tanzania ya Leo ni ya watu ambao wako kwenye Giza

I'm very sure Moyo wako unapishana Sana na mikono yako inachoandika
hapa sio suala la nani na nani,

wengine la muhimu zaidi kwetu ni kusema ukweli tu,
na tabia ya ukweli daima ni mchungu na ndio maana wewe na hata hao wangwana hapo juu wamepata mihemko na kunikasirikia kwasababu hawapendi kuskia au kuambiwa ukweli,

zaidi sana hawapendi kuona Dr.Samia Suluhu Hassan akiendelea kujenga mazingira ya usawa na bora zaidi ya kedemokrasia nchini....

wanasiasa ni vizuri kujiepusha na kukiuka sheria kwa makusud ili mchukuliwe hatua za kisheria, mkitegemea huruma ya wananchi nyakati za uchaguzi, haitasaidia:BASED:
 
kwamba sasa mazingira ya kufanya kazi za siasa ni sawa, lakini kuna uhuru wa kufanya siasa bila mipaka, vizuizi wala vipingamizi ilimradi tu kufuata na kuzingatia sheri na kuzitii bila shuruti, kiburi au ukaidi...

uhuru kwa vyama vya siasa kukusanyika kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara bila kuzuiwa.
uhuru wa kuijieleza na kutoa taarifa au maoni kupitia vyombo vya habari ukilinganisha na kipindi kilichopita...

uhuru na haki kwa vyama vya siasa kufanya maandamano ya amani na kuwasilisha madai, malalamiko, hoja, mapendekezo na maoni yao kwenye taasisi, idara, mamlaka, mashirika ya kitaifa na kimataifa kadiri waandamanaji wanavyoona inafaa n.k

uwajibikaji serikali katika kuwatumikia wananchi, uwazi na utawala bora wa Sheria vina tekelezwa kikamilifu licha ya kasoro na dosari kidogo za kibinadamu za hapa na pale...


mifumo ya utoaji haki na huduma kwa wananchi imeimarika zaidi huku mahitaji muhimu ya wananchi yakitolewa kwa kuzingatia muda, mathalani huko kwenye vyombo vya kutolea haki n.k..

uhuru wa vyombo vya habari na mazingira bora ya kupata na kutoa habari, yameboreshwa na yana usawa zaidi ukilinganisha na kipindi kipindi kingine na hali hii imepelekea kuibuka au kuanzishwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi nchini Tanzania...

umoja, amani na utulivu pia vimeimarika sana, katika awamu hii ya sita chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwasabb ya mazingira bora ya uhuru, haki na usawa katika kufanya siasa miongoni mwa vyama vya siasa na utoaji huduma kwa haki na usawa kwa wananchi...

kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini pia kumechochea huduma za kijamii kama vile maji, afya, elimu, kilimo, miundombinu, uvuvi, usafishaji n.k kuimarisha zaidi..

hayo ni kwa uchache tu,
ukweli ni kwamba Dr Samia Suluhu Hassan Rais na kipenzi cha waTanzania, amaifungua nchi ni vile tu baadhi ya wanasiasa wa Tanzania wamezoea ukaidi ili kupata huruma ya wananchi wanapotiwa nguvuni kwa kukiuka sheria na kuhatarisha amani kwa kuendekeza siasa za fujo, wanashindwa kuacha kudeka na kukaidi kutii sheria bila shuruti na matokeo yake kwa makusudi wanakutana na mkono wa sheria ili baadae wapate cha kuwaambia wananchi ili waonewe huruma..

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Ni kweli kabisa maana kabla ya awamu ya 6 Nchi ilikuwa upinzani.CCM ndiyo imeanza 2021
ya maana zaidi ni kwamba,
mazingira bora na ya usawa ya kidemokrasia nchini kwa kiasi kikubwa yamachochea pakubwa sana maendeleo, umoja, amani na utulivu wa waTanzania:BASED:
 
kwamba sasa mazingira ya kufanya kazi za siasa ni sawa, lakini kuna uhuru wa kufanya siasa bila mipaka, vizuizi wala vipingamizi ilimradi tu kufuata na kuzingatia sheri na kuzitii bila shuruti, kiburi au ukaidi...

uhuru kwa vyama vya siasa kukusanyika kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara bila kuzuiwa.
uhuru wa kuijieleza na kutoa taarifa au maoni kupitia vyombo vya habari ukilinganisha na kipindi kilichopita...

uhuru na haki kwa vyama vya siasa kufanya maandamano ya amani na kuwasilisha madai, malalamiko, hoja, mapendekezo na maoni yao kwenye taasisi, idara, mamlaka, mashirika ya kitaifa na kimataifa kadiri waandamanaji wanavyoona inafaa n.k

uwajibikaji serikali katika kuwatumikia wananchi, uwazi na utawala bora wa Sheria vina tekelezwa kikamilifu licha ya kasoro na dosari kidogo za kibinadamu za hapa na pale...


mifumo ya utoaji haki na huduma kwa wananchi imeimarika zaidi huku mahitaji muhimu ya wananchi yakitolewa kwa kuzingatia muda, mathalani huko kwenye vyombo vya kutolea haki n.k..

uhuru wa vyombo vya habari na mazingira bora ya kupata na kutoa habari, yameboreshwa na yana usawa zaidi ukilinganisha na kipindi kipindi kingine na hali hii imepelekea kuibuka au kuanzishwa kwa vyombo vya habari vingi zaidi nchini Tanzania...

umoja, amani na utulivu pia vimeimarika sana, katika awamu hii ya sita chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan kwasabb ya mazingira bora ya uhuru, haki na usawa katika kufanya siasa miongoni mwa vyama vya siasa na utoaji huduma kwa haki na usawa kwa wananchi...

kuimarika kwa hali ya kisiasa nchini pia kumechochea huduma za kijamii kama vile maji, afya, elimu, kilimo, miundombinu, uvuvi, usafishaji n.k kuimarisha zaidi..

hayo ni kwa uchache tu,
ukweli ni kwamba Dr Samia Suluhu Hassan Rais na kipenzi cha waTanzania, amaifungua nchi ni vile tu baadhi ya wanasiasa wa Tanzania wamezoea ukaidi ili kupata huruma ya wananchi wanapotiwa nguvuni kwa kukiuka sheria na kuhatarisha amani kwa kuendekeza siasa za fujo, wanashindwa kuacha kudeka na kukaidi kutii sheria bila shuruti na matokeo yake kwa makusudi wanakutana na mkono wa sheria ili baadae wapate cha kuwaambia wananchi ili waonewe huruma..

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Na utekaji umeongezeka pia ukilinganisha na kipindi kilichopita
 
Aisee hatai nimeshangaa
ni lazima ishangaze na ilete taharuki sana kwamba,

huko nyuma kulikua na marufuku ya mikutano ya kisiasa nchi nzima, lakini leo hii yeyote yuko huru kufanya siasa awezavyo popote nchini kwa kuzingatia sheria tu....

imewezekamnaje hii chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, mshangao uko hapo zaidi right?:NoGodNo:
 
Sawa Mkuu, endelea kuenjoy Cake ya Taifa.
keki ya Taifa kila mTanzania anaenjoy vizuri,

kwa mfano,
hivi sasa tunaenjoy pamoja usafiri mwanana na wa kasi sana wa sgr, dar - moro - dom hiyo ni keki ya taifa, achilia mbaya umeme wa uhakika na mambo mengine yanayofanana na hayo ambayo mimi na wewe tunayafanikisha kwa kodi, ushuru na tozo kidogo tu tunazochangia, right?:pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom