Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,959
- 13,727
Mkoa wa Ruvuma umepewa jina kutokana na Mto Ruvuma, ambao ni mpaka wake wa kusini na Msumbiji. Mkoa huu unapakana na Ziwa Nyasa na Mkoa wa Morogoro upande wa magharibi, mikoa ya Iringa na Lindi upande wa kaskazini, na Mkoa wa Mtwara upande wa mashariki.
Mkoa wa Ruvuma una majimbo ya uchaguzi tisa (9); Songea Mjini, Madaba, Mbinga Vijijini, Mbinga Mjini, Nyasa, Namtumbo, Tunduru Kaskazini na Tunduru Kusini, ambapo Jimbo la Songea Mjini linaongoza kwa kuwa na watu wengi zaidi (286,285), likifuatiwa na Jimbo la Mbinga Vijijini (285,582). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Madaba, lenye watu 65,215.
SOMA PIA
Makao makuu ya mkoa yako Songea mjini. Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Ruvuma ni 1,848,794; wanaume wakiwa 902,298 na wanawake 946,496.
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA RUVUMA
Mkoa huu una Halmashauri nane (8) zinazojumuisha Mamlaka za Miji na Mamlaka za Wilaya.
MAMLAKA ZA MIJI
Manispaa ya Songea
Kata: 21
Mitaa: 94
Mji wa Mbinga
Kata: 19
Mitaa: 29
Vitongoji: 49
Jumla ya Miji: Kata 40, Mitaa 123, Vitongoji 49
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Madaba
Kata: 8
Vijiji: 22
Vitongoji: 170
Wilaya ya Mbinga
Kata: 29
Vijiji: 117
Vitongoji: 782
Wilaya ya Namtumbo
Kata: 21
Vijiji: 66
Vitongoji: 424
Wilaya ya Nyasa
Kata: 20
Vijiji: 84
Vitongoji: 421
Wilaya ya Songea
Kata: 16
Vijiji: 56
Vitongoji: 443
Wilaya ya Tunduru
Kata: 39
Vijiji: 157
Vitongoji: 1,178
Jumla Kuu ya Mkoa: Kata 173, Mitaa 123, Vijiji 551, Vitongoji 3,691. Mkoa wa Ruvuma una mchango mkubwa na uwiano mzuri wa kimaendeleo kwa wananchi wake.
CHANZO: TAMISEMI
Soma Pia:
Hali ya Kisiasa
Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa ambayo kwa kiwango kikubwa nafasi za uongozi katika ngazi za serikali za mitaa, udiwani na ubunge zinashikiliwa na Chama cha Mapinduzi CCM ambapo hali hiyo ilisababishwa na uchaguzi wa serikali za Mitaa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu 2020.
Katika Uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 uliwapitisha bila kupingwa wagombea wa CCM . Aidha kulitokea dosari za kuenguliwa kwa wagombea wa vyama vya upinzani kwa madai ya kukosa sifa za kugombea hivyo kupelekea baadhi ya vyama kujiondoa katika uchaguzi huo.
Katika kuelekea Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa mwaka huu 2024 matarajio ni kuwepo kwa usawa wa democrasia na haki kwa kila mmoja kushiriki uchaguzi bila kuwepo na viashiria vya kunyima uhuru kwa baadhi ya vyama vya siasa hapa nchini.
Pia, soma
Mkoa wa Ruvuma una majimbo ya uchaguzi tisa (9); Songea Mjini, Madaba, Mbinga Vijijini, Mbinga Mjini, Nyasa, Namtumbo, Tunduru Kaskazini na Tunduru Kusini, ambapo Jimbo la Songea Mjini linaongoza kwa kuwa na watu wengi zaidi (286,285), likifuatiwa na Jimbo la Mbinga Vijijini (285,582). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Madaba, lenye watu 65,215.
SOMA PIA
- Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
- Mchengerwa: Matokeo ya uchaguzi kutangazwa ndani ya saa 72
Makao makuu ya mkoa yako Songea mjini. Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Ruvuma ni 1,848,794; wanaume wakiwa 902,298 na wanawake 946,496.
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA RUVUMA
Mkoa huu una Halmashauri nane (8) zinazojumuisha Mamlaka za Miji na Mamlaka za Wilaya.
MAMLAKA ZA MIJI
Manispaa ya Songea
Kata: 21
Mitaa: 94
Mji wa Mbinga
Kata: 19
Mitaa: 29
Vitongoji: 49
Jumla ya Miji: Kata 40, Mitaa 123, Vitongoji 49
MAMLAKA ZA WILAYA
Wilaya ya Madaba
Kata: 8
Vijiji: 22
Vitongoji: 170
Wilaya ya Mbinga
Kata: 29
Vijiji: 117
Vitongoji: 782
Wilaya ya Namtumbo
Kata: 21
Vijiji: 66
Vitongoji: 424
Wilaya ya Nyasa
Kata: 20
Vijiji: 84
Vitongoji: 421
Wilaya ya Songea
Kata: 16
Vijiji: 56
Vitongoji: 443
Wilaya ya Tunduru
Kata: 39
Vijiji: 157
Vitongoji: 1,178
Jumla Kuu ya Mkoa: Kata 173, Mitaa 123, Vijiji 551, Vitongoji 3,691. Mkoa wa Ruvuma una mchango mkubwa na uwiano mzuri wa kimaendeleo kwa wananchi wake.
CHANZO: TAMISEMI
Soma Pia:
- Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bara utafanyika 27 November, 2024
- TAMISEMI: Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka 2024 zitaanza tarehe 20 hadi 26, Novemba
Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa ambayo kwa kiwango kikubwa nafasi za uongozi katika ngazi za serikali za mitaa, udiwani na ubunge zinashikiliwa na Chama cha Mapinduzi CCM ambapo hali hiyo ilisababishwa na uchaguzi wa serikali za Mitaa mwaka 2019 na uchaguzi mkuu 2020.
Katika Uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 uliwapitisha bila kupingwa wagombea wa CCM . Aidha kulitokea dosari za kuenguliwa kwa wagombea wa vyama vya upinzani kwa madai ya kukosa sifa za kugombea hivyo kupelekea baadhi ya vyama kujiondoa katika uchaguzi huo.
Katika kuelekea Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa mwaka huu 2024 matarajio ni kuwepo kwa usawa wa democrasia na haki kwa kila mmoja kushiriki uchaguzi bila kuwepo na viashiria vya kunyima uhuru kwa baadhi ya vyama vya siasa hapa nchini.
Pia, soma
- Ruvuma: Kada Chadema Atimkia ACT Wazalendo, adai Chama Hicho Hakina Malengo na Kimepoteza Dira
- Ruvuma na Songea wameonesha nguvu na ushawishi mkubwa wa CCM na Rais Samia!
- Dr Nchimbi: Rais Samia kwa Mapenzi yake kwa Watu wa Ruvuma alikataa kubadili ratiba Ili aende Marekani ambapo jana angehutubia UNGA!
- Koplo mstaafu abubujikwa na furaha kukutana na Rais Samia. Ampa fimbo maalum Rais kwa ajili ya kuchapia wapinzani!
- Ruvuma: Naibu Waziri na Madiwani Mbinga wamshukuru Rais Samia kwa kuimba na kupiga magoti
- Mahakama Kuu Kanda ya Songea yatoa mafunzo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Mahakimu wa Mkoa wa Ruvuma
- Mwenyekiti ACT Wazalendo Tunduru: Awaonya wahuni kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
- Ado Shaibu: Hatuibiwi kura safari hii. Wasitubipu, tuna bando la mwaka
- ACT Wazalendo yashinda vijiji 4 Tunduru