Asilimia kubwa wanaobaka wanakuwa wametaperiwa,,ukishataperiwa kiasi kikubwa cha pesa na wajanja wa mjini,
Kitakachofuata wewe ni kuwasumbua wale mataperi kwa namna moja au nyingine,,,sasa ili usiendelee kuwasumbua,watakachofanya, watakuambia hii issue ili iende saw a inabidi apatikane mtoto wa umri fulani wa chini umlale, uende nae guest au chumbani kwako km utakuwa msela, we ukikubari Ilo suala, kitakachofuata wale mataperi wanapanga issue na maaskari wasio waaminifu kwa kuwaelekeza ulipo na huyo unaetaka kumbaka, unakamatwa bila kutaraajia, then unapewa kesi ya kubaka,end of ze day unaenda jela, iyo inaitwa kufunga kipindi, hapo alikutaperi anakula life,we mtaperiwa unaozea jela