Matokeo ya QT 2018/2019.

MANYORI Jr

JF-Expert Member
Mar 25, 2012
462
343
Kuna jambo nimelishangaa kiasi hasa hili la matokeo ya kidato cha pili( FTNA) kutangazwa kwa watahiniwa walioko shuleni tu na kuyaacha matokeo ya watahiniwa binafsi wa kidato cha pili(QT).
Nimejiuliza pia juu ya usawa wa muda wa kujisajiri kwaajili ya mtihani wa kidato cha nne ikiwa QT matokeo hayapo hadi wakati huu.
Lengo la baraza la Mitihani ni nini hasa? na je,litasogeza mbele muda wa usajiri kwa wale ambao matokeo yao yamechelewa kutolewa(QT) ili nao wapate fursa ya muda sawa?
Ni kwa mazingira haya nimefikiri pia kuwa baraza linapanga kuwapiga faini ya kinguvu watakaochelewa kujisajiri kwaajili ya mtihani wa kidato cha nne ilihali baraza limechelewesha matokeo?
Ratiba ya kujisajiri inaonesha ni kuanzia January mosi hadi February 30(bila faini) na machi mosi hadi 30 (na faini juu).
Kwanini ipo hivi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jambo nimelishangaa kiasi hasa hili la matokeo ya kidato cha pili( FTNA) kutangazwa kwa watahiniwa walioko shuleni tu na kuyaacha matokeo ya watahiniwa binafsi wa kidato cha pili(QT).
Nimejiuliza pia juu ya usawa wa muda wa kujisajiri kwaajili ya mtihani wa kidato cha nne ikiwa QT matokeo hayapo hadi wakati huu.
Lengo la baraza la Mitihani ni nini hasa? na je,litasogeza mbele muda wa usajiri kwa wale ambao matokeo yao yamechelewa kutolewa(QT) ili nao wapate fursa ya muda sawa?
Ni kwa mazingira haya nimefikiri pia kuwa baraza linapanga kuwapiga faini ya kinguvu watakaochelewa kujisajiri kwaajili ya mtihani wa kidato cha nne ilihali baraza limechelewesha matokeo?
Ratiba ya kujisajiri inaonesha ni kuanzia January mosi hadi February 30(bila faini) na machi mosi hadi 30 (na faini juu).
Kwanini ipo hivi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli kwamba mtihani wa QT una sifa linganishi za kidato cha pili lakini ni wenyewe ni mtihani na huu wa kidato cha pili ni upimaji tu. QT hufanywa na watahiniwa wa kidato cha NNE sambamba na matokeo yake pia huambatana vivyo. Kama umefanya QT unajiandaa tu kujisajili kwa CSEE kama utafaulu ama kwa QT kama utafeli. Matokeo yatatoka muda ukifika na NECTA hawapangiwi na MTU link watoe matokeo mpaka michakato yao ikamilike. Hata huwa kuna nyongeza ya muda kila mwaka, jipange
 
Nikweli kwamba mtihani wa QT una sifa linganishi za kidato cha pili lakini ni wenyewe ni mtihani na huu wa kidato cha pili ni upimaji tu. QT hufanywa na watahiniwa wa kidato cha NNE sambamba na matokeo yake pia huambatana vivyo. Kama umefanya QT unajiandaa tu kujisajili kwa CSEE kama utafaulu ama kwa QT kama utafeli. Matokeo yatatoka muda ukifika na NECTA hawapangiwi na MTU link watoe matokeo mpaka michakato yao ikamilike. Hata huwa kuna nyongeza ya muda kila mwaka, jipange
Si kila hoja ninayoileta mimi ndiye mhusika au mlengwa hasa.Haya mambo ni ya umma na hivyo pana wakati ninalazimika kuusemea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msingi wa QT ni kupata sifa na vigezo vya kufanya mtihani wa kidato cha nne.una ratiba yake na namuna yake japo hufanywa wakati vijana wa kidato cha pili (wa shuleni) wakiendelea na wakwao.
Matokeo yanaweza kuwa 'umefaulu' au 'hujafaulu'.Ili uweze kujiandikisha kufanya mtihani wa kidato cha nne ni lazima uhakikishe umefaulu QT.Wapo wanaofaulu na wapo ambao hawafaulu.Ni kwa misingi hii basi ndimo suala la umapema wa matokeo ya QT linaibuka.Hii ina maana kuwa iwapo mpaka wakati huu hayapo hata wale waliofanya huo mtihani hawawezi kujisajiri pamoja na muda wa kuanza kuwa tayari umeanza kuhesabika.
Hofu na mashaka yangu ni pale baraza litakapoamua kuongeza muda lakini ukawa upande wa muda wa faini.Huu ni unyonyaji kama unyonyaji mwingine kupitia huruma yenye manung'uniko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msingi wa QT ni kupata sifa na vigezo vya kufanya mtihani wa kidato cha nne.una ratiba yake na namuna yake japo hufanywa wakati vijana wa kidato cha pili (wa shuleni) wakiendelea na wakwao.
Matokeo yanaweza kuwa 'umefaulu' au 'hujafaulu'.Ili uweze kujiandikisha kufanya mtihani wa kidato cha nne ni lazima uhakikishe umefaulu QT.Wapo wanaofaulu na wapo ambao hawafaulu.Ni kwa misingi hii basi ndimo suala la umapema wa matokeo ya QT linaibuka.Hii ina maana kuwa iwapo mpaka wakati huu hayapo hata wale waliofanya huo mtihani hawawezi kujisajiri pamoja na muda wa kuanza kuwa tayari umeanza kuhesabika.
Hofu na mashaka yangu ni pale baraza litakapoamua kuongeza muda lakini ukawa upande wa muda wa faini.Huu ni unyonyaji kama unyonyaji mwingine kupitia huruma yenye manung'uniko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba unisaidie vigezo vya kurudia mtihani kidato cha nne.

Niliwai kusikia wale waliopata zero kidato cha nne huwa hawatambuliwi na necta kwaiyo hawaruhusiwi kurudia tena mtihani wa kidato cha nne.ni kweli eti hili mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba unisaidie vigezo vya kurudia mtihani kidato cha nne.

Niliwai kusikia wale waliopata zero kidato cha nne huwa hawatambuliwi na necta kwaiyo hawaruhusiwi kurudia tena mtihani wa kidato cha nne.ni kweli eti hili mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli.Anayerudia maana yake anahitaji akisafishe kile alichopata awali.Mwaka juzi nimemsaidia mtu aliyepata zero kupata three.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom