Baadhi ya? Wangapi?Nimefuatilia matamko kadhaa ya viongozi wa chadema wakijipiza dhidi ya vilabu hivi pendwa. Kwa nini wamedhamiria kuvidhuru ? Kosa lao nini?
Ulishawahi kupata ugonjwa akili?Baadhi ya? Wangapi?
Hoja hii imetolewa na Lema kwa minajili ya simba na Yanga zinapumbaza watu kutetea haki zao. Simba na Yanga zipo kama wale wavaa nanii hawaoni baya.
Taifa linaloamka asubuhi mpaka jioni radio ni kuongelea michezo simbayanga ni taifa mfu na hoehae.
Ukiacha na siasa. Simba na Yanga ndio vilabu vinazuia maendeleo ya soka letu.
Simba na Yanga zitawajibu kupitia uchaguzi wa October 2025Kwani wtz tunakula simba na yanga?, Na vifutwe maana ni moja ya zindiko la ccm kuwapunbaza wtz kutofuatilia mambo ya msingi!!.
Inawezekanaje Radio station kuanzia asbh mpk jion n simba na yanga, vijiweni n simba na yanga .... Na vifutwe kabisa.... Itapendeza kukaanzishwa timu mpya KILA mkoa usio na timu upate timu ligikuu, Ili kuwe na uzalendo halisi. Inakuwaje yanga/simba anacheza na kagera sugar/Tabora afu wakaazi wa maeneo hayo wazishangilie hizo timu na sio timu zao?. Huoni kama hilo ni zindiko na utumwa wa kikoloni uliopandikizwa na ccm dhidi ya wtz?.
ZIFUTWE KABISA.
Haya uchaguzi waambie chauma na mshoga zenu wengine 18 cdm haishiriki uchafuzi na uuaji wa raia.Simba na Yanga zitawajibu kupitia uchaguzi wa October 2025
Wapi kasema ataifuta?Nimefuatilia matamko kadhaa ya viongozi wa chadema wakijipiza dhidi ya vilabu hivi pendwa. Kwa nini wamedhamiria kuvidhuru ? Kosa lao nini?
Relax utajambaKila siku wanasema na kujiapiza hivyo
Wameanza kuwa sehemu ya chawa wanaoliangamiza taifa.Ila sasa nyie chawa wa ccm msitake kuichonganisha Chadema na mashabiki wa vilabu hivi kwani hata Wao ni Watanzania na wafanyayo ccm ysnawaathiri wao na vizazi vyao.Nimefuatilia matamko kadhaa ya viongozi wa chadema wakijipiza dhidi ya vilabu hivi pendwa. Kwa nini wamedhamiria kuvidhuru ? Kosa lao nini?
Aisee! Wewe unajielewa sana, Hawa ni misukule wa ccm, mataahira Kila saa ni yanga na simba TU! Majitu yamekuwa kama mazezeta!Kwani wtz tunakula simba na yanga?, Na vifutwe maana ni moja ya zindiko la ccm kuwapunbaza wtz kutofuatilia mambo ya msingi!!.
Inawezekanaje Radio station kuanzia asbh mpk jion n simba na yanga, vijiweni n simba na yanga .... Na vifutwe kabisa.... Itapendeza kukaanzishwa timu mpya KILA mkoa usio na timu upate timu ligikuu, Ili kuwe na uzalendo halisi. Inakuwaje yanga/simba anacheza na kagera sugar/Tabora afu wakaazi wa maeneo hayo wazishangilie hizo timu na sio timu zao?. Huoni kama hilo ni zindiko na utumwa wa kikoloni uliopandikizwa na ccm dhidi ya wtz?.
ZIFUTWE KABISA.
Utakuwepo?Simba na Yanga zitawajibu kupitia uchaguzi wa October 2025
Relax utajambaMumeo kasafiri nije?
Na Siasa za Majitaka ndio zinakuza maendeleo ?Baadhi ya? Wangapi?
Hoja hii imetolewa na Lema kwa minajili ya simba na Yanga zinapumbaza watu kutetea haki zao. Simba na Yanga zipo kama wale wavaa nanii hawaoni baya.
Taifa linaloamka asubuhi mpaka jioni radio ni kuongelea michezo simbayanga ni taifa mfu na hoehae.
Ukiacha na siasa. Simba na Yanga ndio vilabu vinazuia maendeleo ya soka letu.
Vipi la udini limekosa nguvu? Hata hili la mpira litabuma. Ujue NRNE ilivyo na nguvu.Nimefuatilia matamko kadhaa ya viongozi wa chadema wakijipiza dhidi ya vilabu hivi pendwa. Kwa nini wamedhamiria kuvidhuru ? Kosa lao nini?
Ni sahihi kabisaWewe hujui hizi timu zinaleta umoja wa kitaifa.leo hii Mwigulu mchemba na Tundu lisu wanaweza kukaa pamoja kwa kushangilia yanga.? Jambo gani lingine linaweza likawaunganisha watu kama sio hilo.
Wanaopinga hizi clubs hawana akili