Master J amuomba msamaha Alikiba kwa kauli yake kali

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,971
5,353
Mtayarishaji nguli wa muziki hapa nchini Master J amemuomba msamaha Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba baada ya mahojiano yake aliyoyafanya na Simulizi na Sauti huku akisema kuwa hajawahi kuwa na chuki wala kumkebehi mtu yeyote.

"Hii ya juzi ilikuja nilikuwa nimeonja vitu kidogo na niseme tu mbele yenu naomba Alikiba anisamehe nilikosea" - Master Jay.

 
ni bwege huyu master jay anajikuta halafu sioni anachojua na sio mara 1 au 2 kuwaongelea wasanii mashudu

alimkosea sana ALI KIBA kuna namna ya kuongea kama unataka kuwasilisha kitu ila si pumba kama vile wote tunajua MARLONI LINJE ndio alikuwa akimbeba pale MJ

master jay ni mpuuzi fulani hivi upinde kama alivyosema ALI KIBA
 
ni bwege huyu master jay anajikuta halafu sioni anachojua na sio mara 1 au 2 kuwaongelea wasanii mashudu

alimkosea sana ALI KIBA kuna namna ya kuongea kama unataka kuwasilisha kitu ila si pumba kama vile wote tunajua MARLONI LINJE ndio alikuwa akimbeba pale MJ

master jay ni mpuuzi fulani hivi upinde kama alivyosema ALI KIBA
"Msema ukweli mpenzi wa Mungu! Au nasema uongo ndugu zangu!!!"
 
ni bwege huyu master jay anajikuta halafu sioni anachojua na sio mara 1 au 2 kuwaongelea wasanii mashudu

alimkosea sana ALI KIBA kuna namna ya kuongea kama unataka kuwasilisha kitu ila si pumba kama vile wote tunajua MARLONI LINJE ndio alikuwa akimbeba pale MJ

master jay ni mpuuzi fulani hivi upinde kama alivyosema ALI KIBA
Ila kusema Master Jay huoni anachojua inahitaji kujitoa akili sio kidogo. Ukumbuke unamuongelea Engineer wa Sauti hapo.
 
Anabusara sana master Jay,
Huyu no producer wa muziki Sasa usipo msikiliza producer wa muziki kuhusu mambo ya muziki utamsikiliza Nani,?
 
Back
Top Bottom