Maslahi ya Tanzania DR Congo ni yapi?

Mi mi

JF-Expert Member
Jul 14, 2024
2,495
4,756
Maslahi ya Tanzania hapo Congo ni yapi?

Rwanda inafahamika maslahi yake hapo Congo sisi wengine tunapeleka Congo vijana wetu kwenda kufia wacongo kwa maslahi yapi kama taifa?

Hii ni dunia ya kibepari isiyotaka maamuzi ya kijamaa hivyo ni vyema tukajua tunaenda kupambania nini Congo?

Bila hivyo itakuwa vitaa kichaa tunapigana

Hivyo ni umuhimu kujua maslahi ya Tanzania kama nchi hapo Congo mpaka kupeleka jeshi letu ni yapi?

PIA SOMA
- Je, ni sahihi Tanzania kuendelea na uhusiano wa kawaida na Rwanda wakati tuko vitani na nchi hiyo DR Congo?
 
Maslahi ya Tanzania hapo Congo ni yapi?

Rwanda inafahamika maslahi yake hapo Congo sisi wengine tunapeleka Congo vijana wetu kwenda kufia wacongo kwa maslahi yapi kama taifa?

Hii ni dunia ya kibepari isiyotaka maamuzi ya kijamaa hivyo ni vyema tukajua tunaenda kupambania nini Congo?

Bila hivyo itakuwa vitaa kichaa tunapigana

Hivyo ni umuhimu kujua maslahi ya Tanzania kama nchi hapo Congo mpaka kupeleka jeshi letu ni yapi?

PIA SOMA
- Je, ni sahihi Tanzania kuendelea na uhusiano wa kawaida na Rwanda wakati tuko vitani na nchi hiyo DR Congo?
Maslahi yetu Congo ni usalama mpakani na biashara ambayo kiasi kikubwa imeegemea bandari.
 
Tanzania ni mwendawazimu.maana hakuna wanachonufaika zaidi ya kupoteza wanajeshi vitani.viya hiyo itamalizwa na wakongo wenyewe watakapoamua kumaliza tofauti zao ndani ya Nchi Yao na siyo kudingizia mataifa mengine ndiyo husababisha hiyo vita
 
Maslahi yetu Congo ni usalama mpakani na biashara amabayo kiasi kikubwa imeegemea bandari.
Katika hiyo biashara Congo inachangia asilimia ngapi ya mapato yetu kwa mwaka ? Na kama ni hiyo biashara inakuaje madereva wetu wanakuwa hawapo salama katika eneo tunaloenda kulinda biashara zetu mpaka wana kombolewa na adui tulieenda kupambana nae ?

Tumeenda kupambania biashara yetu au vitu vingine nje ya biashara ?

Na kuhusu usalama wa mpakani na Congo tunalinda dhidi ya nini ? Wakimbizi ?, waasi ? Au nini hasa ?
 
Katika hiyo biashara Congo inachangia asilimia ngapi ya mapato yetu kwa mwaka ? Na kama ni hiyo biashara inakuaje madereva wetu wanakuwa hawapo salama katika eneo tunaloenda kulinda biashara zetu mpaka wana kombolewa na adui tulieenda kupambana nae ?
Congo inaweza kuwa ndiye mteja mkubwa zaidi wa bandari ya Dar es Salaam.
 
Tanzania ni mwendawazimu.maana hakuna wanachonufaika zaidi ya kupoteza wanajeshi vitani.viya hiyo itamalizwa na wakongo wenyewe watakapoamua kumaliza tofauti zao ndani ya Nchi Yao na siyo kudingizia mataifa mengine ndiyo husababisha hiyo vita
Acha tuone
 
Congo inaweza kuwa ndiye mteja mkubwa zaidi wa bandari ya Dar es Salaam.
Inaweza

Huyu mpuuzi ana hii project ni hasara kubwa kwetu na kwa hiyo bandari unayo izungumzia hapa

The Lobito Atlantic Railway (LAR) is a joint venture, operating trains along the Benguela railway corridor from the coast of Angola into the Democratic Republic of Congo.
2024-1-29-fig-1.png
 
Inaweza

Huyu mpuuzi ana hii project ni hasara kubwa kwetu na kwa hiyo bandari unayo izungumzia hapa

The Lobito Atlantic Railway (LAR) is a joint venture, operating trains along the Benguela railway corridor from the coast of Angola into the Democratic Republic of Congo.
View attachment 3218858
Bado bandari ya Dar es Salaam ndio Karibu zaidi kwa DRC kwa sehemu kubwa ya biashara yake ya nje ya bara la Africa.
 
Bado bandari ya Dar es Salaam ndio Karibu zaidi kwa DRC kwa sehemu kubwa ya biashara yake ya nje ya bara la Africa.
Huo umuhimu Congo wangeuonesha kwa kuingia joint project na sisi mfanano na hiyo Lobito kabla hata wazo la lobito kufikiriwa kinyume chake wanaingia na Angola maana yake nini? sisi hatuna umuhimu huo kwao.

Ni ukichaa ku support watu wajinga wajinga kama hawa
 
Bado bandari ya Dar es Salaam ndio Karibu zaidi kwa DRC kwa sehemu kubwa ya biashara yake ya nje ya bara la Africa.
Kuwa karibu siyo sababu Bali ufanisi wa bandari ndiyo huvutia zaidi wafanyabiashara.mfano Kuna watanzania wengi tu wanapitisha mizigo Yao Kenya wakati wakenya hakuna hata mmoja anayepitisha bandari za Tanzania
 
Maslahi ya Tanzania hapo Congo ni yapi?

Rwanda inafahamika maslahi yake hapo Congo sisi wengine tunapeleka Congo vijana wetu kwenda kufia wacongo kwa maslahi yapi kama taifa?

Hii ni dunia ya kibepari isiyotaka maamuzi ya kijamaa hivyo ni vyema tukajua tunaenda kupambania nini Congo?

Bila hivyo itakuwa vitaa kichaa tunapigana

Hivyo ni umuhimu kujua maslahi ya Tanzania kama nchi hapo Congo mpaka kupeleka jeshi letu ni yapi?

PIA SOMA
- Je, ni sahihi Tanzania kuendelea na uhusiano wa kawaida na Rwanda wakati tuko vitani na nchi hiyo DR Congo?
Sio mambo yote yanawekwa hadharini ila wale wanaoenda huku wanajua wanachoenda kufanya
 
Sio mambo yote yanawekwa hadharini ila wale wanaoenda huku wanajua wanachoenda kufanya
Wanajua nini ?

Unafikiri hatuna ndugu,jamaa wanaoenda huko kufukuzia tu madili ya mission na hawana wanachojua
 
Wanajua nini ?

Unafikiri hatuna ndugu,jamaa wanaoenda huko kufukuzia tu madili ya mission na hawana wanachojua
Nilijua wewe ni mmojawapo wa walioenda kumbe una ndugu wanaoenda. Basi sawa
 
Congo ni mbia wa maendeleo anatumia bandari yetu,pia kuwahakikishia usalama watz waishio Congo na mipakani .
Congo ni mnunuzi mkubwa wa chakula Toka kwa wakulima na wavuvi wetu lazima madereva wetu walindwe,nne kuepuka wimbi la wakimbizi kuingia nchini si unayajua madhara ya wahamiaji haramu na uhalifu nchini.
Congo ikitulia mapato yetu yataongezeka.
Dawa ni kuwafurusha hao m23; hadi kwa boss wao kigali
 
Tofauti na wale walinda amani kupitia SADC kwani kuna askari wengine waliopelekwa huko au wanaongelewa wanajeshi wapi
 
Congo ni mbia wa maendeleo anatumia bandari yetu,pia kuwahakikishia usalama watz waishio Congo na mipakani .
Congo ni mnunuzi mkubwa wa chakula Toka kwa wakulima na wavuvi wetu lazima madereva wetu walindwe,nne kuepuka wimbi la wakimbizi kuingia nchini si unayajua madhara ya wahamiaji haramu na uhalifu nchini.
Congo ikitulia mapato yetu yataongezeka.
Dawa ni kuwafurusha hao m23; hadi kwa boss wao kigali
Hiyo bandari haina umuhimu huo kwa hawa wapuuzi wa Congo na ndio maana wana project na Angola ya lobito kuthibitisha hilo.

Na kuhusu usalama wa watu wetu na huo ni uongo mkubwa ni juzi tu hapa madereva wetu wameokolewa na maadui wetu tunaopambana nao.

Kuhusu kulinda mipaka yetu tunaweza linda mipaka yetu bila hata kutuma askari wetu Congo na kuzuia hatari zote katika nchi yetu.
 
Huo umuhimu Congo wangeuonesha kwa kuingia joint project na sisi mfanano na hiyo Lobito kabla hata wazo la lobito kufikiriwa kinyume chake wanaingia na Angola maana yake nini? sisi hatuna umuhimu huo kwao.

Ni ukichaa ku support watu wajinga wajinga kama hawa
Huo ni mradi wa PPP, pesa nyingi zaidi zinatoka upande wa sekta binafsi, nyingine ni mkopo wa Marekani, hizo serikali za Africa zina sauti ndogo sana hapo.
 
Kuwa karibu siyo sababu Bali ufanisi wa bandari ndiyo huvutia zaidi wafanyabiashara.mfano Kuna watanzania wengi tu wanapitisha mizigo Yao Kenya wakati wakenya hakuna hata mmoja anayepitisha bandari za Tanzania
Inategemea uko Tanzania upande gani, na hata DRC inatagemea uko upande gani, Congo ni kubwa mara mbili na nusu zaidi ya Tanzania.
 
Hiyo bandari haina umuhimu huo kwa hawa wapuuzi wa Congo na ndio maana wana project na Angola ya lobito kuthibitisha hilo.

Na kuhusu usalama wa watu wetu na huo ni uongo mkubwa ni juzi tu hapa madereva wetu wameokolewa na maadui wetu tunaopambana nao.

Kuhusu kulinda mipaka yetu tunaweza linda mipaka yetu bila hata kutuma askari wetu Congo na kuzuia hatari zote katika nchi yetu.
Congo iliyotulia na salama ni faida zaidi kwa Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ya jirani ila tatizo ni kwamba hatuna huo uwezo wa kuifanya tulivu, sisi wenyewe pia hatujaweza kuzitumia rasilimali zetu nyingi kwa ufanisi kiasi cha kutufanya tuende kusaidia huko kwingine nje.
 
Back
Top Bottom