hnp
JF-Expert Member
- Dec 4, 2020
- 276
- 474
Habari wana JF
Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa pamoja na vifaa vyake ikiwemo sehemu ilipofungiwa umeme wa three phase, maeneo ya Dar Es Salaam, Gongo la Mboto. Mashine ina miezi 10 toka inunuliwe, njoo na bei yako tuzungumze.
Risiti zake zipo.
Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa pamoja na vifaa vyake ikiwemo sehemu ilipofungiwa umeme wa three phase, maeneo ya Dar Es Salaam, Gongo la Mboto. Mashine ina miezi 10 toka inunuliwe, njoo na bei yako tuzungumze.
Risiti zake zipo.