Mashine na biashara za betting zinauzwaje?

Madingi ya Mbinguni

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
14,135
35,749
Naomba kujua yafuatayo juu ya mashine na biashara za kubetisha mpira.

1. Mashine zinauzwaje.
2. Zinapatikanaje/wapi?
3. Mtaji wake kiasi gani?
4. Risk zake ni zipi?
5. Faida yake inapatikanaje?
Nk
 
Muhimu upate leseni,Chumba kiwe na uhakika wa Umemw then unaenda kwenye kampuni kama PrimieBet,,PMBET wanakuja kukagua eneo wakiona linafaa wanakupa mashine uanze kazi

Faida itatokana na idadi ya watu wataobet mfano kwa kila ataepoteza 500 bas utagawana na kampuni asilimia kadhaa 20%

Risk zake ni kufungiwa mda wowote,Kuvamiwa,Kupigwa,Kutukanwa,Kupoteza Heshima ktk Jamii

USHAURI:
Amna kazi ngumu kama kufanya kazi na watu wenye AROSTO wakamaria wengi wanaAROSTo kwaio ngumi mkononi,Kesi hazitoisha watakuvizia wakuibie/Kukuua kabisa yote kwa yote kama una NJIA NJIA iko wazi
 
Back
Top Bottom