Madingi ya Mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 14,135
- 35,749
Naomba kujua yafuatayo juu ya mashine na biashara za kubetisha mpira.
1. Mashine zinauzwaje.
2. Zinapatikanaje/wapi?
3. Mtaji wake kiasi gani?
4. Risk zake ni zipi?
5. Faida yake inapatikanaje?
Nk
1. Mashine zinauzwaje.
2. Zinapatikanaje/wapi?
3. Mtaji wake kiasi gani?
4. Risk zake ni zipi?
5. Faida yake inapatikanaje?
Nk