Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 576
- 783
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH 4, WAMESHINDA KESI LEO TAREHE 4/6/2024 MAHAKAMA KUU DAR ES SALAAM MBELE YA JAJI MHINA
POLISI WAMEWACHUKUA
“Kwanza kabisa tunamshukuru Mwenyezi Mungu na pili tunawashukuru sana Shura ya Maimamu”.
Hayo ni maneno ya Sheikh Zahaki Rashid mara tu alipotoka katika chumba cha Mahakama na kukumuona kiongozi wa Shura.
Sambamba na viongozi wa Shura walikuwapo mawakili 4, waliowatetea.
Masheikh walioshinda kesi leo ni:
1. Zahaki Rashid Ngai.
2. Chande Rashid Njawi.
3. Jihadi Gaibon Swaleh. Na
4. Rashid Omari Mnigwa.
Masheikh hawa walikamatwa na polisi mwaka 2015, na kufunguliwa mashtaka ya kufanya vitendo vya Ugaidi.
Hata hivyo kwa zaidi ya miaka 8, upande wa serikali walishindwa kuleta ushadi Mahakani.
Mwaka huu mwezi wa 4, ndipo shauri lilipoanza kuzungumzwa na leo Mahakama Kuu imetoa hukumu ya kuwaacha huru baada ya kutowaona na hatia yoyote.
Katika hali ya kushangaza mara tu baada ya kutoka katika chumba cha Mahakama, askari wa jeshi la polisi waliwachukua na kuondoka nao bila kuwataarifu wao na ndugu zao wanawakamata kwa kosa gani.
Shura ya Maimamu baada ya kufuatilia imegundua Masheikh hao wanashikiliwa katika kituo kikuu cha polisi jijini Dar es Salaam.
Masheikh hao wamekaa gerzani kwa miaka 9.
Shura inafuatilia kushikilwa kwao na itatoa taarifa ya kinachoendelea.
TAARIFA HII IMETOLEWA NA OFISI YA KATIBU MKUU SHURA YA MAIMAMU TANZANIA.
www.jamiiforums.com
MASHEIKH 4, WAMESHINDA KESI LEO TAREHE 4/6/2024 MAHAKAMA KUU DAR ES SALAAM MBELE YA JAJI MHINA
POLISI WAMEWACHUKUA
“Kwanza kabisa tunamshukuru Mwenyezi Mungu na pili tunawashukuru sana Shura ya Maimamu”.
Hayo ni maneno ya Sheikh Zahaki Rashid mara tu alipotoka katika chumba cha Mahakama na kukumuona kiongozi wa Shura.
Sambamba na viongozi wa Shura walikuwapo mawakili 4, waliowatetea.
Masheikh walioshinda kesi leo ni:
1. Zahaki Rashid Ngai.
2. Chande Rashid Njawi.
3. Jihadi Gaibon Swaleh. Na
4. Rashid Omari Mnigwa.
Masheikh hawa walikamatwa na polisi mwaka 2015, na kufunguliwa mashtaka ya kufanya vitendo vya Ugaidi.
Hata hivyo kwa zaidi ya miaka 8, upande wa serikali walishindwa kuleta ushadi Mahakani.
Mwaka huu mwezi wa 4, ndipo shauri lilipoanza kuzungumzwa na leo Mahakama Kuu imetoa hukumu ya kuwaacha huru baada ya kutowaona na hatia yoyote.
Katika hali ya kushangaza mara tu baada ya kutoka katika chumba cha Mahakama, askari wa jeshi la polisi waliwachukua na kuondoka nao bila kuwataarifu wao na ndugu zao wanawakamata kwa kosa gani.
Shura ya Maimamu baada ya kufuatilia imegundua Masheikh hao wanashikiliwa katika kituo kikuu cha polisi jijini Dar es Salaam.
Masheikh hao wamekaa gerzani kwa miaka 9.
Shura inafuatilia kushikilwa kwao na itatoa taarifa ya kinachoendelea.
TAARIFA HII IMETOLEWA NA OFISI YA KATIBU MKUU SHURA YA MAIMAMU TANZANIA.
Masheikh waliochukuliwa na Polisi Mahakamani jana wametolewa leo 5/6/24, alasiri kwa dhamana. Hawakuelezwa dhamana ya tuhuma gani
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA MASHEIKH WALIOCHUKULIWA NA POLISI MAHAKAMANI JANA WAMETOLEWA LEO 5/6/24, ALASIRI KWA DHAMANA. (HAWAKUELEZWA DHAMANA YA TUHUMA GANI, MAANA WAMESHINDA KESI NA KUACHIWA HURU NA MAHAKAMA) Masheikh hao ni: 1. Zahaki Rashid Ngai. 2. Chande Rashid Njawi. 3. Jihadi...