Mashabiki wa Simba wahoji kuhusu michango ya faini ya CAF kama ililipwa kweli

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
8,573
19,873
Mashabiki wa Simba wamepaza Sauti na kuhoji kama michango iliyoitishwa na Meneja Habari wa klabu hiyo kama ililipwa kama lilivyokuwa kusudio

Kimsingi kama timu inashiriki mashindano ya CAF, timu hiyo ikitozea faini pesa hiyo Huwa inakatwa kwenye pesa ambayo wangelipwa, wala haina haja ya timu kuchangisha hela,

Huu ni utapeli wa wazi, ambao uongozi umewafanyia mashabiki, Simba haikupeleka pesa CAF Bali walikatwa kwenye sehemu ya malipo yao

Soma Pia: Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Tukumbuke kuwa kipindi cha CEO Babra, waliitisha michango ya kujenga Uwanja na mashabiki wa Simba walichanga zaidi ya billion 3

Walipohoji kuhusu hizo fedha waliambiwa ati wamejenga ukuta wa uwanja wa Bunju
Hivi pale Bunju Kuna ukuta wa billion 3

Rage aliwaita Wanachama wa Simba mbumbumbu, tuna amini kuwa Rage aliona mbali
 
Mashabiki wa Simba wamepaza Sauti na kuhoji kama michango iliyoitishwa na manager habari wa club hiyo kama ililipwa kama lilivyokuwa kusudio

Kimsingi kama timu inashiriki mashindano ya CAF, timu hiyo ikitozea faini pesa hiyo Huwa inakatwa kwenye pesa ambayo wangelipwa, wala haina haja ya timu kuchangisha hela,

Huu ni utapeli wa wazi, ambao uongozi umewafanyia mashabiki, Simba haikupeleka pesa CAF Bali walikatwa kwenye sehemu ya malipo yao

Soma Pia: Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Tukumbuke kuwa kipindi cha CEO Babra, waliitisha michango ya kujenga Uwanja na mashabiki wa Simba walichanga zaidi ya billion 3

Walipohoji kuhusu hizo fedha waliambiwa ati wamejenga ukuta wa uwanja wa Bunju
Hivi pale Bunju Kuna ukuta wa billion 3

Rage aliwaita Wanachama wa Simba mbumbumbu, tumaini kuwa Rage aliona mbali
Mimi nahoji kama Konkon na Okrah walilipwa, halafu na Baleke tena
 
Mashabiki wa Simba wamepaza Sauti na kuhoji kama michango iliyoitishwa na manager habari wa club hiyo kama ililipwa kama lilivyokuwa kusudio

Kimsingi kama timu inashiriki mashindano ya CAF, timu hiyo ikitozea faini pesa hiyo Huwa inakatwa kwenye pesa ambayo wangelipwa, wala haina haja ya timu kuchangisha hela,

Huu ni utapeli wa wazi, ambao uongozi umewafanyia mashabiki, Simba haikupeleka pesa CAF Bali walikatwa kwenye sehemu ya malipo yao

Soma Pia: Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Tukumbuke kuwa kipindi cha CEO Babra, waliitisha michango ya kujenga Uwanja na mashabiki wa Simba walichanga zaidi ya billion 3

Walipohoji kuhusu hizo fedha waliambiwa ati wamejenga ukuta wa uwanja wa Bunju
Hivi pale Bunju Kuna ukuta wa billion 3

Rage aliwaita Wanachama wa Simba mbumbumbu, tuna amini kuwa Rage aliona mbali
Hilo umejianzishia wewe nyuma mwiko.Tupe ushahidi wa masikini gani aliyejiliza kwa kutoa mchango.Chura wewe!
 
Mashabiki wa Simba wamepaza Sauti na kuhoji kama michango iliyoitishwa na manager habari wa club hiyo kama ililipwa kama lilivyokuwa kusudio

Kimsingi kama timu inashiriki mashindano ya CAF, timu hiyo ikitozea faini pesa hiyo Huwa inakatwa kwenye pesa ambayo wangelipwa, wala haina haja ya timu kuchangisha hela,

Huu ni utapeli wa wazi, ambao uongozi umewafanyia mashabiki, Simba haikupeleka pesa CAF Bali walikatwa kwenye sehemu ya malipo yao

Soma Pia: Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Tukumbuke kuwa kipindi cha CEO Babra, waliitisha michango ya kujenga Uwanja na mashabiki wa Simba walichanga zaidi ya billion 3

Walipohoji kuhusu hizo fedha waliambiwa ati wamejenga ukuta wa uwanja wa Bunju
Hivi pale Bunju Kuna ukuta wa billion 3

Rage aliwaita Wanachama wa Simba mbumbumbu, tuna amini kuwa Rage aliona mbali
Ukiwa kiongozi wa hizi timu za Kariakoo, unapiga pesa nje nje
 
Back
Top Bottom