Setfree
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 2,807
- 3,850
Imezuka tabia, siku hizi, watu wanapomuona mtu fulani ana msimamo thabiti, imara, wanamwita “Mwamba.”
Kwa mujibu wa Maandiko, "Mwamba" ni jina lenye uzito mkubwa kiroho. Jina hilo ni la Yesu Kristo peke yake, kama Maandiko yanenavyo katika 1 Wakorintho 10:4b.
Kumwita mwanadamu “Mwamba” ni kumpa utukufu asiostahili.
Yesu tu ndiye anayestahili kuitwa Mwamba.
Nawasihi kwa heshima zote, tusiguse utukufu wa Yesu.
Kwa mujibu wa Maandiko, "Mwamba" ni jina lenye uzito mkubwa kiroho. Jina hilo ni la Yesu Kristo peke yake, kama Maandiko yanenavyo katika 1 Wakorintho 10:4b.
Kumwita mwanadamu “Mwamba” ni kumpa utukufu asiostahili.
Yesu tu ndiye anayestahili kuitwa Mwamba.
Nawasihi kwa heshima zote, tusiguse utukufu wa Yesu.