Marekani: Ukilawiti watoto adhabu yake ni kuhasiwa. Adhabu hii inafaa kwa Tanzania

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Nov 8, 2022
8,759
10,207
Kama Taifa kubwa linatunga sheria Kali kiasi hiki ,inakuaje hapa Tanzania ambapo Watoto wanafanyiwa vitendo vya ajabu na hakuna adhabu yeyote ya maana?

Kuna Mbunge alipendekeza adhabu ya kunyongwa lakini Kwa uzoefu wa Tanzania Wakuu huwa hawatekelezi hizo adhabu,kumbe badala yake tuanze kuwahasi na kifungo Juu.

Hongera sana Beberu.👇👇

=======

Taarifa kutokea nchini Marekani zinaeleza kuwa kuanzia mwezi Agosti mwaka huu watu watakaokutwa na hatia ya kuwalawiti Watoto wanaweza wakaamriwa kuhasiwa kwa njia ya upasuaji pamoja na kifungo cha jela.

Wanasiasa katika Jimbo hilo wamepitisha Muswada huo Jumatatu wiki hii ambao utawaruhusu Majaji kuamuru watu waliolawiti watoto chini ya miaka 13 wahasiwe kwa njia hiyo mpya.

Ikiwa Muswada huo utakuwa sheria basi wale wote watakaokutwa na hatia kuanzia Agosti Mosi watahukumiwa chini ya sheria hiyo.

Majaji katika Jimbo la Louisiana wamekuwa na uwezo wa kuamuru mtu yoyote aliyekutwa na hatia ya uhalifu wa kulawiti watoto kuhasiwa kwa kutumia kemikali. Hata hivyo sasa adhabu hiyo itakuwa kali zaidi.

Kitenge
 
Kama Taifa kubwa linatunga sheria Kali kiasi hiki ,inakuaje hapa Tanzania ambapo Watoto wanafanyiwa vitendo vya ajabu na hakuna adhabu yeyote ya maana?

Kuna Mbunge alipendekeza adhabu ya kunyongwa lakini Kwa uzoefu wa Tanzania Wakuu huwa hawatekelezi hizo adhabu,kumbe badala yake tuanze kuwahasi na kifungo Juu.

Hongera sana Beberu.👇👇

=======

Taarifa kutokea nchini Marekani zinaeleza kuwa kuanzia mwezi Agosti mwaka huu watu watakaokutwa na hatia ya kuwalawiti Watoto wanaweza wakaamriwa kuhasiwa kwa njia ya upasuaji pamoja na kifungo cha jela.

Wanasiasa katika Jimbo hilo wamepitisha Muswada huo Jumatatu wiki hii ambao utawaruhusu Majaji kuamuru watu waliolawiti watoto chini ya miaka 13 wahasiwe kwa njia hiyo mpya.

Ikiwa Muswada huo utakuwa sheria basi wale wote watakaokutwa na hatia kuanzia Agosti Mosi watahukumiwa chini ya sheria hiyo.

Majaji katika Jimbo la Louisiana wamekuwa na uwezo wa kuamuru mtu yoyote aliyekutwa na hatia ya uhalifu wa kulawiti watoto kuhasiwa kwa kutumia kemikali. Hata hivyo sasa adhabu hiyo itakuwa kali zaidi.

Kitenge
acha uongo mkuu
hizo sheria za kikatili haziwezi ku work huko, watu wanajua haki zao
 
Kama Taifa kubwa linatunga sheria Kali kiasi hiki ,inakuaje hapa Tanzania ambapo Watoto wanafanyiwa vitendo vya ajabu na hakuna adhabu yeyote ya maana?

Kuna Mbunge alipendekeza adhabu ya kunyongwa lakini Kwa uzoefu wa Tanzania Wakuu huwa hawatekelezi hizo adhabu,kumbe badala yake tuanze kuwahasi na kifungo Juu.

Hongera sana Beberu.👇👇

=======

Taarifa kutokea nchini Marekani zinaeleza kuwa kuanzia mwezi Agosti mwaka huu watu watakaokutwa na hatia ya kuwalawiti Watoto wanaweza wakaamriwa kuhasiwa kwa njia ya upasuaji pamoja na kifungo cha jela.

Wanasiasa katika Jimbo hilo wamepitisha Muswada huo Jumatatu wiki hii ambao utawaruhusu Majaji kuamuru watu waliolawiti watoto chini ya miaka 13 wahasiwe kwa njia hiyo mpya.

Ikiwa Muswada huo utakuwa sheria basi wale wote watakaokutwa na hatia kuanzia Agosti Mosi watahukumiwa chini ya sheria hiyo.

Majaji katika Jimbo la Louisiana wamekuwa na uwezo wa kuamuru mtu yoyote aliyekutwa na hatia ya uhalifu wa kulawiti watoto kuhasiwa kwa kutumia kemikali. Hata hivyo sasa adhabu hiyo itakuwa kali zaidi.

Kitenge
Kutokana na mfumo wa utungaji wa Sheria uliopo nchini Marekani, sidhani kama Mswada huo wa Sheria unaweza kupitishwa. Sina hakika juu ya suala hilo.
 
Kama Taifa kubwa linatunga sheria Kali kiasi hiki ,inakuaje hapa Tanzania ambapo Watoto wanafanyiwa vitendo vya ajabu na hakuna adhabu yeyote ya maana?

Kuna Mbunge alipendekeza adhabu ya kunyongwa lakini Kwa uzoefu wa Tanzania Wakuu huwa hawatekelezi hizo adhabu,kumbe badala yake tuanze kuwahasi na kifungo Juu.

Hongera sana Beberu.👇👇

=======

Taarifa kutokea nchini Marekani zinaeleza kuwa kuanzia mwezi Agosti mwaka huu watu watakaokutwa na hatia ya kuwalawiti Watoto wanaweza wakaamriwa kuhasiwa kwa njia ya upasuaji pamoja na kifungo cha jela.

Wanasiasa katika Jimbo hilo wamepitisha Muswada huo Jumatatu wiki hii ambao utawaruhusu Majaji kuamuru watu waliolawiti watoto chini ya miaka 13 wahasiwe kwa njia hiyo mpya.

Ikiwa Muswada huo utakuwa sheria basi wale wote watakaokutwa na hatia kuanzia Agosti Mosi watahukumiwa chini ya sheria hiyo.

Majaji katika Jimbo la Louisiana wamekuwa na uwezo wa kuamuru mtu yoyote aliyekutwa na hatia ya uhalifu wa kulawiti watoto kuhasiwa kwa kutumia kemikali. Hata hivyo sasa adhabu hiyo itakuwa kali zaidi.

Kitenge
adhabu ya kifo ni sahihi kabisa. Ukimuhasi, psychological trauma/effect ya khasiwa inaweza ikamfanya akaona hana thamani, akatenda mauaji makubwa, then naye akajiua. Death sentense is ideal
 
Moja ya madhara ya adhabu Kali ni pale mnapomuadhibu mtu baadae mkagundua Hana hatua, hata marekani Kuna watu wamefungwa miaka mingi baadae wakagundulika hawana hatua.
Ukishamuhasi mtu baadae ukafundua alisingiziwa utamlipaje.
 
Kama Taifa kubwa linatunga sheria Kali kiasi hiki ,inakuaje hapa Tanzania ambapo Watoto wanafanyiwa vitendo vya ajabu na hakuna adhabu yeyote ya maana?

Kuna Mbunge alipendekeza adhabu ya kunyongwa lakini Kwa uzoefu wa Tanzania Wakuu huwa hawatekelezi hizo adhabu,kumbe badala yake tuanze kuwahasi na kifungo Juu.

Hongera sana Beberu.👇👇

=======

Taarifa kutokea nchini Marekani zinaeleza kuwa kuanzia mwezi Agosti mwaka huu watu watakaokutwa na hatia ya kuwalawiti Watoto wanaweza wakaamriwa kuhasiwa kwa njia ya upasuaji pamoja na kifungo cha jela.

Wanasiasa katika Jimbo hilo wamepitisha Muswada huo Jumatatu wiki hii ambao utawaruhusu Majaji kuamuru watu waliolawiti watoto chini ya miaka 13 wahasiwe kwa njia hiyo mpya.

Ikiwa Muswada huo utakuwa sheria basi wale wote watakaokutwa na hatia kuanzia Agosti Mosi watahukumiwa chini ya sheria hiyo.

Majaji katika Jimbo la Louisiana wamekuwa na uwezo wa kuamuru mtu yoyote aliyekutwa na hatia ya uhalifu wa kulawiti watoto kuhasiwa kwa kutumia kemikali. Hata hivyo sasa adhabu hiyo itakuwa kali zaidi.

Kitenge
Sikubaliani na adhabu za kikatili hizi. Katika jamii ambazo tunakumbana na kesi/ushahidi wa kubambikia, "mtuhumiwa akishahasiwa na kisha kugundulika kwamba siyo yeye, anarudishwaje kwenye hali yake ya asili/kawaida?" Mara ngapi tunakutana na hizi kesi za kubambikia na katika mazingira kama haya ni kitu gani tunataka hasa (wakati tunaadhibu walengwa na wasiolengwa)? Kwa mantiki hii, hii adhabu haifai na ni sawa ya adhabu ya kunyonga ambayo pia haifai kwa jamii zilizostarabika na zinazomcha Mungu. Adhabu yoyote inalenga kumpa mkosaji fursa ya kujutia kosa lake, kujirekebisha kwa kutenda mema na kuwa raia mwema tena.
 
adhabu ya kifo ni sahihi kabisa. Ukimuhasi, psychological trauma/effect ya khasiwa inaweza ikamfanya akaona hana thamani, akatenda mauaji makubwa, then naye akajiua. Death sentense is ideal
Absolutely.
Because he'll think that he has nothing to lose, the resultant effects are dangerous to the general public.
 
Smart911 lo kuhasi maana yake nini??? Si unajuaga mie Kiswahilii nilifeliiigii
Naomba mwongozo pulllllllliiiiiiiiizzzzz!

Ila Mtu na Akili zake timamu anaanzaje kumlawiti mtoto dahh!

Kweli watu hawana huruma

Cc Smart911
 
Kama Taifa kubwa linatunga sheria Kali kiasi hiki ,inakuaje hapa Tanzania ambapo Watoto wanafanyiwa vitendo vya ajabu na hakuna adhabu yeyote ya maana?

Kuna Mbunge alipendekeza adhabu ya kunyongwa lakini Kwa uzoefu wa Tanzania Wakuu huwa hawatekelezi hizo adhabu,kumbe badala yake tuanze kuwahasi na kifungo Juu.

Hongera sana Beberu.👇👇

=======

Taarifa kutokea nchini Marekani zinaeleza kuwa kuanzia mwezi Agosti mwaka huu watu watakaokutwa na hatia ya kuwalawiti Watoto wanaweza wakaamriwa kuhasiwa kwa njia ya upasuaji pamoja na kifungo cha jela.

Wanasiasa katika Jimbo hilo wamepitisha Muswada huo Jumatatu wiki hii ambao utawaruhusu Majaji kuamuru watu waliolawiti watoto chini ya miaka 13 wahasiwe kwa njia hiyo mpya.

Ikiwa Muswada huo utakuwa sheria basi wale wote watakaokutwa na hatia kuanzia Agosti Mosi watahukumiwa chini ya sheria hiyo.

Majaji katika Jimbo la Louisiana wamekuwa na uwezo wa kuamuru mtu yoyote aliyekutwa na hatia ya uhalifu wa kulawiti watoto kuhasiwa kwa kutumia kemikali. Hata hivyo sasa adhabu hiyo itakuwa kali zaidi.

Kitenge
Na wasagaji tuwafanyeje?
 
Mnapenda sana story za vijiweni Watanzania. Na kuna mang'ombe yakakukubalia humu daaah.

Mkienda kusoma sheria za kulawiti marekani mtalia. Watu wanajua haki zao kule tofauti na sisi wajuaji na hatujui kitu.
 
Kwahiyo hilo jina chini hapo la Kitenge ndio reliable source ya hii habari? Au mimi ndio sijaelewa?
 
Back
Top Bottom