Arusha mtu akiwa anakunywa pombe grocery tofauti tofauti utasikia ohh yule bilionea grocery au baa gani wasiomjua kumbe anakunywa hapa bia mbili kule mbili
MAREKANI na Ulaya tajiri hupimwa kwa kodi analipa TRA sio kama Arusha mtu anapimwa kwa pombe anakunywa grocery kwa mromboo hongera Bakheresa kupewa tuzo la mlipa kodi mkubwa kwa ushahidi wa TRA
Kodi TRA mtu hulipa kwa asilimia na mauzo kama VAT nk hivyo ni rahisi kujua utajiri wa mtu anayelipa TRA kodi kuliko huyo mzunguka kwa mrombo vi grocery wanayemwita bilionea wa Arusha
Ukitaka kujua Bilionea muulize TRA wewe unalipa shilingi ngapi kwa Mwaka? Na lete ushahidi sio vizibo vya bia vya kwa mromboo Arusha
Mzee Bakheresa hongera sana kupewa tuzo
MAREKANI na Ulaya tajiri hupimwa kwa kodi analipa TRA sio kama Arusha mtu anapimwa kwa pombe anakunywa grocery kwa mromboo hongera Bakheresa kupewa tuzo la mlipa kodi mkubwa kwa ushahidi wa TRA
Kodi TRA mtu hulipa kwa asilimia na mauzo kama VAT nk hivyo ni rahisi kujua utajiri wa mtu anayelipa TRA kodi kuliko huyo mzunguka kwa mrombo vi grocery wanayemwita bilionea wa Arusha
Ukitaka kujua Bilionea muulize TRA wewe unalipa shilingi ngapi kwa Mwaka? Na lete ushahidi sio vizibo vya bia vya kwa mromboo Arusha
Mzee Bakheresa hongera sana kupewa tuzo