Maporomoko ya Udongo yafunga Barabara Kuu ya Mtwara, Lindi, Dar es Salaam kwa Saa Tano

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Aug 29, 2022
747
1,606
Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Mtwara, zimesabisha maporomoko ya udogo, kufunga barabara Kuu ya Mtwara, Lindi, Dar es Salaam, katika eneo la Mikindani kwa zaidi ya saa tano na hivyo kuleta usumbufu kwa abiria na madereva.

Soma Pia: Barabara Kuu ya Dar- Lindi imekatika sehemu 2 na kukata mawasilino


Snapinst.app_476516282_18373485886139870_1828681446790493655_n_1080.jpeg
 
Back
Top Bottom