Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 790
- 1,671
Sometimes una akili Sana, uwe na jumatatu njemaKIjani ni rangi tu!
Mkubwa mzima unakuwa chawa. Sasa story gani hiiMbunge wa Viti Maalum Mhe. Jesca Kishoa amefika katika Kata ya Nkalakala Wilayani Mkalama Mkoani Singida na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?
Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM
Inashangaza, ila wananchi kama hao waliompokea kweli ni mazombieWanasiasa wamewageuza wananchi wamekuwa kama mazombie..
Hivi ndo alokua mke wa Kafulila eh?Inashangaza, ila wananchi kama hao waliompokea kweli ni mazombie
Ndio huyo. Wakaachana baada ya kumcheat na Namungo FCHivi ndo alokua mke wa Kafulila eh?
Wananchi wenyewe ndo kama akina mwijaku,unategemea nini?Wanasiasa wamewageuza wananchi wamekuwa kama mazombie..
Mkuu sio kweli, wananchi wanajielewa vizuri tu.Inashangaza, ila wananchi kama hao waliompokea kweli ni mazombie
Namungo ndo nani? Duh🙌Ndio huyo. Wakaachana baada ya kumcheat na Namungo FC
Fungua code,kwani Namungo ipo wapiNamungo ndo nani? Duh🙌
Ni MKE Wake hadi sasa kwa mujibu wa BibliaHivi ndo alokua mke wa Kafulila eh?
Kaaphone MaaaaaajaliwaaaaNamungo ndo nani? Duh🙌