Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 790
- 1,671
Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Jesca Kishoa amefika katika Kata ya Nkalakala Wilayani Mkalama Mkoani Singida na kufanya mkutano wa hadhara na wananchi pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?
Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Pre GE2025 - Kipindi hiki cha Uchaguzi wanawake wanapata nafasi ya kutosha kushiriki kwenye masuala ya uchaguzi?
Kishoa amewasili katika mkutano huo leo tarehe 16 Februari, 2025 huku akiwa amevalia vazi lenye rangi ya kijani, sambamba na kusindikizwa na nyimbo zinazokiimba Chama cha Mapinduzi CCM