Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Ila bora wao kidogo wamepata faida kuliko sisi kila siku mwamedi anapata hasara hakuna siku aliyosema kapata faida
😆😆😆 Mwamedi hadi anamwaga uchozi hakuna faida anaipataIla bora wao kidogo wamepata faida kuliko sisi kila siku mwamedi anapata hasara hakuna siku aliyosema kapata faida
Kweli mkuu lini ulimsikia kapata faida hata kidogo tu
Umewaamini?.Ila bora wao kidogo wamepata faida kuliko sisi kila siku mwamedi anapata hasara hakuna siku aliyosema kapata faida
Ebu shangaa jamaniMwamedi hadi anamwaga uchozi hakuna faida anaipata
Hata kama hawaaminiki lakini sio kila siku we unalalamika unapata hasaraUmewaamini?.
kwanini?Haya mambo yangekuwa Simba kelele zingekuwa za kutosha.
Endeleeni t
Halafu wamekaa kimyaaa. Hao ndiyo Yanga tunaowasemaga kila siku.Tumepigwa,yaani mauzo yote ya jezi ni tumilioni mia tatu tu....
Kheee!Ila bora wao kidogo wamepata faida kuliko sisi kila siku mwamedi anapata hasara hakuna siku aliyosema kapata faida
Soma hiyo! bilioni 11 total valuation ya mkataba.Tumepigwa,yaani mauzo yote ya jezi ni tumilioni mia tatu tu....
Kitambo sana!Yanga Queen wamelipwa?
Hiyo ni biashara wanahisa wanegawana faidaHaya mambo yangekuwa Simba kelele zingekuwa za kutosha.
Endeleeni tu