Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Haya mambo yangekuwa Simba kelele zingekuwa za kutosha.
Endeleeni tu
===
Rais wa Yanga Eng. Hersi Said wakati anahutubia kwenye Mkutano Mkuu amesema, kwa msimu wa 2022|23 klabu ya Yanga imefanikiwa kutengeneza zaidi ya Tsh. 7 bilioni. Fedha hizo zinatokana na wadhamini mbalimbali wa klabu hiyo.
Eng. Hersi pia amesema, Yanga imeingiza zaidi ya Tsh. 3 bilioni kupitia mafanikio yaliyotokana na ushiriki wa mashindano mbalimbali na mapato yanayotokana na viingilio vya mechi.
Endeleeni tu
===
Rais wa Yanga Eng. Hersi Said wakati anahutubia kwenye Mkutano Mkuu amesema, kwa msimu wa 2022|23 klabu ya Yanga imefanikiwa kutengeneza zaidi ya Tsh. 7 bilioni. Fedha hizo zinatokana na wadhamini mbalimbali wa klabu hiyo.
Eng. Hersi pia amesema, Yanga imeingiza zaidi ya Tsh. 3 bilioni kupitia mafanikio yaliyotokana na ushiriki wa mashindano mbalimbali na mapato yanayotokana na viingilio vya mechi.