Mapacha wanaofanana, Hossam na Ibrahim Hassan, wanaandika ukurasa mpya wa kihistoria katika soka la Misri. Sasa wakiwa kama kocha mkuu na mkurugenzi wa timu, ndugu hawa wameiongoza timu ya taifa ya 'Pharaohs' kupata ushindi wao mkubwa na wa kwanza kabisa katika michuano ya Kombe la Dunia, na kuifanya Misri kukaa kileleni mwa Kundi G.
Baada ya kutawala soka hapo awali kama wachezaji maeneo ya Cairo, Ulaya, na ulimwengu wa Kiarabu, sasa wamegeuka kuwa wataalamu wa mbinu wanaomwongoza Mohamed Salah pamoja na kizazi kipya cha dhahabu cha wachezaji wa Misri kwenye Kombe la Dunia 2026
Baada ya kutawala soka hapo awali kama wachezaji maeneo ya Cairo, Ulaya, na ulimwengu wa Kiarabu, sasa wamegeuka kuwa wataalamu wa mbinu wanaomwongoza Mohamed Salah pamoja na kizazi kipya cha dhahabu cha wachezaji wa Misri kwenye Kombe la Dunia 2026