Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,293
- 3,574
Baada ya kuharibu kote huko, sasa anaelekea taratibu kutuharibia amani yetu. Amani ambayo kila siku hujidai kuilinda kwa nguvu zote.
Unaweza vipi kusema unailinda amani, huku mkimuacha Sheikh Mwaipopo atambulishe vikundi vya mbwa mwitu na chui weusi? Au walikuwepo tangu ugaidi wa Kibiti!?
Anataka kuiharibu kesho ya Tanganyika siku akiondoka atuache kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe, Mungu akamvike vazi la aibu,akamsete sete kama Mfalme wa Ashuru,hao mbwa mwitu na chui weusi anaowadhamini wakamrarue hata damu yake isifike ardhini kuchafua nchi yetu.
Soma pia: The Wolves Before the March: How a Cleric's Private Army and a Politicised Military Are Testing Tanzania's Democratic Soul
Unaweza vipi kusema unailinda amani, huku mkimuacha Sheikh Mwaipopo atambulishe vikundi vya mbwa mwitu na chui weusi? Au walikuwepo tangu ugaidi wa Kibiti!?
Anataka kuiharibu kesho ya Tanganyika siku akiondoka atuache kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe, Mungu akamvike vazi la aibu,akamsete sete kama Mfalme wa Ashuru,hao mbwa mwitu na chui weusi anaowadhamini wakamrarue hata damu yake isifike ardhini kuchafua nchi yetu.
Soma pia: The Wolves Before the March: How a Cleric's Private Army and a Politicised Military Are Testing Tanzania's Democratic Soul