Kazi nzuri ya kukuza Kilimo chini ya Serikali ya awamu ya 6Leo Tarehe 30 Jan 25 umefanyika mnada wa kwanza wa zao la Korosho kwenye Ghala la Kuhifadhia Korosho na bei kutangazwa ni Tsh 3,167/= kwa kilo Moja.
Tunaendelea kuupiga mwingi.
Upo manyoni mkuu?Leo Tarehe 30 Jan 25 umefanyika mnada wa kwanza wa zao la Korosho kwenye Ghala la Kuhifadhia Korosho na bei kutangazwa ni Tsh 3,167/= kwa kilo Moja.
Tunaendelea kuupiga mwingi.
Nakazia hapaKilo za chini kununua ni kilo ngapi, hizi unanunua unakuja kuzikoboa ama inakuwaje tupeane kidogo Mana hapa mie ni mjinga sijui chochote