central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 146
- 215
Ndugu zangu wa Hip hop nawaomba hapa kidogo tuwekana sawa.
Wanasema kwenye pick yake The Late Albert Mangwair alikuwa mkali sana wa freestyle yani mitindo huru. Na sifa kuu alikuwa na uwezo mkubwa wa kukaa kwenye topic bila kutoka nje ya mada huku akifreestyle tu(nlimsikia juzi kati fareed kubanda akisema hili)
Lakini wanasema Rashid Makwilo yani Chid Benz pia alikuwa noma sana kwenye mitindo huru.
Kwanini nimeandika haya????
Wanasema kuna battle ilifanyika kati ya Chid na Mangwair na Chid Benz alipotezwa vibaya mno tena alikuwa nyumbani Ilala.
Ebu kwa anaefahamu je ni kweli??? Na ulikuwa mwaka gani?
Ngwair na Chid nani zaidi????
Karibuni.
Wanasema kwenye pick yake The Late Albert Mangwair alikuwa mkali sana wa freestyle yani mitindo huru. Na sifa kuu alikuwa na uwezo mkubwa wa kukaa kwenye topic bila kutoka nje ya mada huku akifreestyle tu(nlimsikia juzi kati fareed kubanda akisema hili)
Lakini wanasema Rashid Makwilo yani Chid Benz pia alikuwa noma sana kwenye mitindo huru.
Kwanini nimeandika haya????
Wanasema kuna battle ilifanyika kati ya Chid na Mangwair na Chid Benz alipotezwa vibaya mno tena alikuwa nyumbani Ilala.
Ebu kwa anaefahamu je ni kweli??? Na ulikuwa mwaka gani?
Ngwair na Chid nani zaidi????
Karibuni.