Nivizuri kuuliza kwani kuuliza siyo ujiinga maana yake ni "KILOMETER PER HOUR 80"Unakuta gari limeandikwa Kph 80 haya maneno yanamaana gani au yanamaanisha nini?
Asanteni
Eneo fulani ndio utembee kilometa hizi sio au80 kilometers per hour
YapEneo fulani ndio utembee kilometa hizi sio au![]()
Hio alama huwa inakuwa IMEANDIKWA NDANI YA DUARA JEKUNDU MAANA YAKE GARI HIO HAITAKIWI KUZIDI MWENDOKASI WA KM 80 KWA SAA. Mara nyingi inawekwa kwenye magari ya kampuni mfano malori yao yasizidi huo mwendo.Unakuta gari limeandikwa Kph 80 haya maneno yanamaana gani au yanamaanisha nini?
Asanteni
SaluteHio alama huwa inakuwa IMEANDIKWA NDANI YA DUARA JEKUNDU MAANA YAKE GARI HIO HAITAKIWI KUZIDI MWENDOKASI WA KM 80 KWA SAA. Mara nyingi inawekwa kwenye magari ya kampuni mfano malori yao yasizidi huo mwendo.
Sasa wenzangu na mimi anachukua tu anaenda kubandika kwenye Passo yake.
Ina uwezo wa katembea uo umbali kwa lisaaEneo fulani ndio utembee kilometa hizi sio au![]()
Hio alama huwa inakuwa IMEANDIKWA NDANI YA DUARA JEKUNDU MAANA YAKE GARI HIO HAITAKIWI KUZIDI MWENDOKASI WA KM 80 KWA SAA. Mara nyingi inawekwa kwenye magari ya kampuni mfano malori yao yasizidi huo mwendo.
Sasa wenzangu na mimi anachukua tu anaenda kubandika kwenye Passo yake.
Asante sana nlishazoea 80km/h.
Kuna mtu alinilisha matango pori eti ukiona hiyo hilo gari linasafiri popote pale within East African Countries
Hapana, unatakiwa utembee 80 km kwa saa moja.Eneo fulani ndio utembee kilometa hizi sio au![]()
daah basi nilikuwa nachanganya mkuu...asanteHapana, unatakiwa utembee 80 km kwa saa moja.
Yaani ndani ya saa moja uwe umetembea KM 80?Ina uwezo wa katembea uo umbali kwa lisaa
ndani ya saa 1 uwe umetembea kilometa 80
Upo sawa mkuu Joséndani ya saa 1 uwe umetembea kilometa 80
hapo nimeelewa nilikuwa najichanganyaUpo sawa mkuu José