Mambo 10 ya kuzingatia kabla hujaagiza bidhaa kutoka china kupitia mtandao wa Alibaba

Jay_255

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
802
1,385
Nitaorodhesha kwa ufupi mambo 10 muhimu zaidi kuyajua kabla hujaagiza bidhaa kupitia app ya alibaba.

1. Usishawishike na udogo wa bei (bei chee) katika kuchagua bidhaa au supplier wa kufanya naye biashara.

2.Usichat na supplier halaf akakwambia mtoke alibaba yaani mchat whatsapp au wechat, hakikisha mawasiliano yote unayafanya kupitia alibaba tu.

3.Kuwa makini sana na supplier ambao kwenye majina yao kuna trading au trader au self business.
Mara nyingi wanakuwa ni madalali au mtu kati.

4.Hakikisha link ya malipo unatumiwa link ya alibaba na si nje ya hapo.

5.Usitishike kuhusu shipping fee utakayoiona hapo alibaba nyingi zinakuwa hazina uhalisia bali mwambie supplier wako una agent wako yupo china.

6.hili sio muhimu sana ila kama kuna option ya kuchagua supplier zaid ya mmoja uliopata angalia ambaye ana muda mrefu wa miama hapo alibaba na akiwa verified ni bora zaidi.

7.Usifanye malipo kupitia mobile payment moja kwa moja zina makato makubwa tumia debit card za benki zina unafuu wa makato.

8.Usitumie agent yoyote wa kusafirisha mzigl wako kuja Tanzania zaidi ya silent ocean au shamwaa.

9.Ni vizur ukatumia usd kwenye app wakati unafanya research zako za bidhaa itakupa uhalisia zaid kuliko kutumia Tsh. exchange rate wanayoweka haina uhalisia.

10.Kama hujawahi agiza kabisa na unataka mwongozo kuanzia mwanzo mpaka mwisho nitafute nitakusaidia mwanzo mwisho mpka unapokea mzigo wako wa kwanza. Gharama zipo
whatsapp 0754497077


Unaweza pitia uzi wangu huu nimefafanua mwanzo mpaka mwisho hatua kwa hatua kwa kina zaidi

 
8.Usitumie agent yoyote wa kusafirisha mzigl wako kuja Tanzania zaidi ya silent ocean au shamwaa.
Kipengle hiki kinatia shaka.

Kwa miaka kadhaa sasa naagiza bidhaa toka alibaba, na situmii hao agents tajwa. Na mizigo inafika kwa wakati, na huduma ni bora.

Picha: Kun mizigo miwili ,"Preparing to ship", na agent sio hao uliotaja
1742087589855.png


Karibu: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
 
Nitaorodhesha kwa ufupi mambo 10 muhimu zaidi kuyajua kabla hujaagiza bidhaa kupitia app ya alibaba.

1. Usishawishike na udogo wa bei (bei chee) katika kuchagua bidhaa au supplier wa kufanya naye biashara.

2.Usichat na supplier halaf akakwambia mtoke alibaba yaani mchat whatsapp au wechat, hakikisha mawasiliano yote unayafanya kupitia alibaba tu.

3.Kuwa makini sana na supplier ambao kwenye majina yao kuna trading au trader au self business.
Mara nyingi wanakuwa ni madalali au mtu kati.

4.Hakikisha link ya malipo unatumiwa link ya alibaba na si nje ya hapo.

5.Usitishike kuhusu shipping fee utakayoiona hapo alibaba nyingi zinakuwa hazina uhalisia bali mwambie supplier wako una agent wako yupo china.

6.hili sio muhimu sana ila kama kuna option ya kuchagua supplier zaid ya mmoja uliopata angalia ambaye ana muda mrefu wa miama hapo alibaba na akiwa verified ni bora zaidi.

7.Usifanye malipo kupitia mobile payment moja kwa moja zina makato makubwa tumia debit card za benki zina unafuu wa makato.

8.Usitumie agent yoyote wa kusafirisha mzigl wako kuja Tanzania zaidi ya silent ocean au shamwaa.

9.Ni vizur ukatumia usd kwenye app wakati unafanya research zako za bidhaa itakupa uhalisia zaid kuliko kutumia Tsh. exchange rate wanayoweka haina uhalisia.

10.Kama hujawahi agiza kabisa na unataka mwongozo kuanzia mwanzo mpaka mwisho nitafute nitakusaidia mwanzo mwisho mpka unapokea mzigo wako wa kwanza. Gharama zipo

Unaweza pitia uzi wangu huu nimefafanua mwanzo mpaka mwisho hatua kwa hatua kwa kina zaidi

Imekaa vizuri!
 
Nitaorodhesha kwa ufupi mambo 10 muhimu zaidi kuyajua kabla hujaagiza bidhaa kupitia app ya alibaba.

1. Usishawishike na udogo wa bei (bei chee) katika kuchagua bidhaa au supplier wa kufanya naye biashara.

2.Usichat na supplier halaf akakwambia mtoke alibaba yaani mchat whatsapp au wechat, hakikisha mawasiliano yote unayafanya kupitia alibaba tu.

3.Kuwa makini sana na supplier ambao kwenye majina yao kuna trading au trader au self business.
Mara nyingi wanakuwa ni madalali au mtu kati.

4.Hakikisha link ya malipo unatumiwa link ya alibaba na si nje ya hapo.

5.Usitishike kuhusu shipping fee utakayoiona hapo alibaba nyingi zinakuwa hazina uhalisia bali mwambie supplier wako una agent wako yupo china.

6.hili sio muhimu sana ila kama kuna option ya kuchagua supplier zaid ya mmoja uliopata angalia ambaye ana muda mrefu wa miama hapo alibaba na akiwa verified ni bora zaidi.

7.Usifanye malipo kupitia mobile payment moja kwa moja zina makato makubwa tumia debit card za benki zina unafuu wa makato.

8.Usitumie agent yoyote wa kusafirisha mzigl wako kuja Tanzania zaidi ya silent ocean au shamwaa.

9.Ni vizur ukatumia usd kwenye app wakati unafanya research zako za bidhaa itakupa uhalisia zaid kuliko kutumia Tsh. exchange rate wanayoweka haina uhalisia.

10.Kama hujawahi agiza kabisa na unataka mwongozo kuanzia mwanzo mpaka mwisho nitafute nitakusaidia mwanzo mwisho mpka unapokea mzigo wako wa kwanza. Gharama zipo

Unaweza pitia uzi wangu huu nimefafanua mwanzo mpaka mwisho hatua kwa hatua kwa kina zaidi

Naona unawapigia debe hao agents zako
 
Nitaorodhesha kwa ufupi mambo 10 muhimu zaidi kuyajua kabla hujaagiza bidhaa kupitia app ya alibaba.

1. Usishawishike na udogo wa bei (bei chee) katika kuchagua bidhaa au supplier wa kufanya naye biashara.

2.Usichat na supplier halaf akakwambia mtoke alibaba yaani mchat whatsapp au wechat, hakikisha mawasiliano yote unayafanya kupitia alibaba tu.

3.Kuwa makini sana na supplier ambao kwenye majina yao kuna trading au trader au self business.
Mara nyingi wanakuwa ni madalali au mtu kati.

4.Hakikisha link ya malipo unatumiwa link ya alibaba na si nje ya hapo.

5.Usitishike kuhusu shipping fee utakayoiona hapo alibaba nyingi zinakuwa hazina uhalisia bali mwambie supplier wako una agent wako yupo china.

6.hili sio muhimu sana ila kama kuna option ya kuchagua supplier zaid ya mmoja uliopata angalia ambaye ana muda mrefu wa miama hapo alibaba na akiwa verified ni bora zaidi.

7.Usifanye malipo kupitia mobile payment moja kwa moja zina makato makubwa tumia debit card za benki zina unafuu wa makato.

8.Usitumie agent yoyote wa kusafirisha mzigl wako kuja Tanzania zaidi ya silent ocean au shamwaa.

9.Ni vizur ukatumia usd kwenye app wakati unafanya research zako za bidhaa itakupa uhalisia zaid kuliko kutumia Tsh. exchange rate wanayoweka haina uhalisia.

10.Kama hujawahi agiza kabisa na unataka mwongozo kuanzia mwanzo mpaka mwisho nitafute nitakusaidia mwanzo mwisho mpka unapokea mzigo wako wa kwanza. Gharama zipo

Unaweza pitia uzi wangu huu nimefafanua mwanzo mpaka mwisho hatua kwa hatua kwa kina zaidi

Thread kama hizi zilishaanzishwa humu kitambo Sana na Mwl.RCT

Tunaagiza vitu Toka nje na vinafika bila kutumia watu hao au wewe ni mgeni kwenye kuagiza bidhaa nje!?.

Inawezekana hujawai fika hata huko.
 
Thread kama hizi zilishaanzishwa humu kitambo Sana na Mwl.RCT

Tunaagiza vitu Toka nje na vinafika bila kutumia watu hao au wewe ni mgeni kwenye kuagiza bidhaa nje!?.

Inawezekana hujawai fika hata huko.

Sasa mbona unajikanyaga mwenyewe...
mgeni wa kuagiza mara sijawahi fika huko. kipi ni kipi sasa

naona wewe na MWL wako nimekanyaga ugali wenu ndio maana mnashambulia maagent niliowapa promo.

kazi yenu hamtaki watu waagize wenyewe mnataka kuwaagizia.
 
Back
Top Bottom