Ni kawaida kabisa kwa akina mama.. Maziwa yatakwenda kuwa mazito kadiri ya mtoto atavyokuwa anakua. Cha muhimu hazingatie mlo kamili..Na vyakula vya majimaji wa wingi kma supu, Uji, na nk.
Lishe bora n muhmu sana kwa mama alietoka kujfungua...ila kutokana na nyakat za sasa asilazmshe maana hali si rafik kabisa kwa watanzani walio wengi
Kila mtu apambane na hali yake ndio kilcho bak