KERO Malipo ya likizo yamekuwa yanachelewa sana kwa Watumishi wa Halmashauri ya Rungwe, tunajiuliza kuna shida gani kwetu?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Torra Siabba

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
239
283
Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tunajiuliza kuna shida gani Wilayani kwetu?

Pesa za likizo kwa Watumishi wa Umma kutotoka kwa wakati hilo jina jambo la kawaida, hali hiyo imekuwa ikijirudia mara kwa mara.

Mfano taarifa za likizo ya Mwezi Desemba 2024 zilianza kukusanywa tangu mwezi Septemba 2024 lakini likizo iliisha 06/01/2025 hakuna aliyelipwa.

Baadaye ndipo watu wakaanza kulipwa, baadhi wakiwa hawajalipwa mpaka, tunajiuliza hizi pesa za nauli ya likizo zinakuwa na maana gani kwa mtumishi anayeenda likizo?

Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na Viongozi wengine mnatusaidia vipi ili kuondoa uzembe huu?
 
Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tunajiuliza kuna shida gani Wilayani kwetu?

Pesa za likizo kwa Watumishi wa Umma kutotoka kwa wakati hilo jina jambo la kawaida, hali hiyo imekuwa ikijirudia mara kwa mara.

Mfano taarifa za likizo ya Mwezi Desemba 2024 zilianza kukusanywa tangu mwezi Septemba 2024 lakini likizo iliisha 06/01/2025 hakuna aliyelipwa.

Baadaye ndipo watu wakaanza kulipwa, baadhi wakiwa hawajalipwa mpaka, tunajiuliza hizi pesa za nauli ya likizo zinakuwa na maana gani kwa mtumishi anayeenda likizo?

Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na Viongozi wengine mnatusaidia vipi ili kuondoa uzembe huu?
Sio Rungwe tu ni tatizo la nchi nzima
 
Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tunajiuliza kuna shida gani Wilayani kwetu?

Pesa za likizo kwa Watumishi wa Umma kutotoka kwa wakati hilo jina jambo la kawaida, hali hiyo imekuwa ikijirudia mara kwa mara.

Mfano taarifa za likizo ya Mwezi Desemba 2024 zilianza kukusanywa tangu mwezi Septemba 2024 lakini likizo iliisha 06/01/2025 hakuna aliyelipwa.

Baadaye ndipo watu wakaanza kulipwa, baadhi wakiwa hawajalipwa mpaka, tunajiuliza hizi pesa za nauli ya likizo zinakuwa na maana gani kwa mtumishi anayeenda likizo?

Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na Viongozi wengine mnatusaidia vipi ili kuondoa uzembe huu?
Sio rungwe tu hilo jambo ni kote. Wanakera saana
 
Watumishi wa Tamisemi mnatia huruma sana, tatizo mna umaskini sana wa kipato na fikra, mnahusudu sana uchawi, kurogana na majungu. Ndio maana mnadharauliwa sana na hamthaminiwa
 
Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Rungwe Mkoani Mbeya tunajiuliza kuna shida gani Wilayani kwetu?

Pesa za likizo kwa Watumishi wa Umma kutotoka kwa wakati hilo jina jambo la kawaida, hali hiyo imekuwa ikijirudia mara kwa mara.

Mfano taarifa za likizo ya Mwezi Desemba 2024 zilianza kukusanywa tangu mwezi Septemba 2024 lakini likizo iliisha 06/01/2025 hakuna aliyelipwa.

Baadaye ndipo watu wakaanza kulipwa, baadhi wakiwa hawajalipwa mpaka, tunajiuliza hizi pesa za nauli ya likizo zinakuwa na maana gani kwa mtumishi anayeenda likizo?

Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na Viongozi wengine mnatusaidia vipi ili kuondoa uzembe huu?
 

Attachments

  • IMG-20250117-WA0030.jpg
    IMG-20250117-WA0030.jpg
    81 KB · Views: 2
Back
Top Bottom