B bujaganoni JF-Expert Member Jul 11, 2015 561 453 Apr 5, 2016 #1 Jamani habarini Nimelipia Kingamuzi cha Azam hapa kwa bei ya 12000 kwa njia ya MPesa, lakini naona wamekaa kimya, au kifurushi kile wamekifuta?
Jamani habarini Nimelipia Kingamuzi cha Azam hapa kwa bei ya 12000 kwa njia ya MPesa, lakini naona wamekaa kimya, au kifurushi kile wamekifuta?
B bujaganoni JF-Expert Member Jul 11, 2015 561 453 Apr 5, 2016 Thread starter #2 Na je hakuna namba ya customer care ya kucommunjcate nao hapa
B bujaganoni JF-Expert Member Jul 11, 2015 561 453 Apr 5, 2016 Thread starter #4 Aaah kumbe, wamekifuta kile cha 12000 eeh
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,361 2,377 Apr 6, 2016 #5 Ongeza 3,000 kisha piga *150*50*5# ubadili package
Papaa Kinyani JF-Expert Member Feb 25, 2013 1,459 699 Apr 6, 2016 #6 bujaganoni said: Jamani habarini Nimelipia Kingamuzi cha Azam hapa kwa bei ya 12000 kwa njia ya MPesa, lakini naona wamekaa kimya, au kifurushi kile wamekifuta? Click to expand... Wameongeza 3000/= kila kifurushi, ongeza 3000/ kisha wapigie watakufungulia
bujaganoni said: Jamani habarini Nimelipia Kingamuzi cha Azam hapa kwa bei ya 12000 kwa njia ya MPesa, lakini naona wamekaa kimya, au kifurushi kile wamekifuta? Click to expand... Wameongeza 3000/= kila kifurushi, ongeza 3000/ kisha wapigie watakufungulia
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,361 2,377 Apr 6, 2016 #7 Actual wamelazimisha kupata kile kifurushi cha sports hd ukipate kwa 3000 pamoja na kifurushi chako cha awali badala ya kukulipia kwa 15,000 kikiwa separate
Actual wamelazimisha kupata kile kifurushi cha sports hd ukipate kwa 3000 pamoja na kifurushi chako cha awali badala ya kukulipia kwa 15,000 kikiwa separate
Ngisibara JF-Expert Member Jan 2, 2009 3,387 2,245 Apr 6, 2016 #8 Kuna watu Tz hii bado wanatumia Azam TV?