steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,587
Mimi nimekuwa mteja wa hizi bank za hapa nyumbani ila hii bank ya NMB ndiyo bank iliyoongoza kuniginbanisha na wateja
Hakuna bank yenye mfumo mbovu kama nmb imagine nimefanya muamala kutoka nmb kwenda mtandao wa simu kupitia lipa mkononi muamala wa mwisho nimefanya jumamomosi saa moja hasubuhi ule muamala unasema "inprogress" mpaka saivi hiyo jumamosi nikawapigia wakasema wana refund pesa but mpk leo muamala upo inprogress
Sasa nimewaza kitu miamala mingapi watu wanapitia changamoto kama hii imagine ku refund pesa tangu Jumamosi mpaka saivi bado hao ma IT wao wamesomea wapi? Ni zoezi gumu hivyo?
Hili sio tatizo la kwanza unaweza kuamka siku ukakuta kupitia app yao hauwezi kulipa kwenda kwenye mtandao wa simu ila kutuma inakubali na wakiwa na tatizo hawalitatu kwa haraka
Binafsi nishasababushiwa hasara mala nyingi mpka nagombana na wateja imefikia hatua mtu akisema nakulipa kupitia nmb naogopa nakuwa sina uwakika na hiyo hela
Nmb wanapaswa kujitafakari
Hakuna bank yenye mfumo mbovu kama nmb imagine nimefanya muamala kutoka nmb kwenda mtandao wa simu kupitia lipa mkononi muamala wa mwisho nimefanya jumamomosi saa moja hasubuhi ule muamala unasema "inprogress" mpaka saivi hiyo jumamosi nikawapigia wakasema wana refund pesa but mpk leo muamala upo inprogress
Sasa nimewaza kitu miamala mingapi watu wanapitia changamoto kama hii imagine ku refund pesa tangu Jumamosi mpaka saivi bado hao ma IT wao wamesomea wapi? Ni zoezi gumu hivyo?
Hili sio tatizo la kwanza unaweza kuamka siku ukakuta kupitia app yao hauwezi kulipa kwenda kwenye mtandao wa simu ila kutuma inakubali na wakiwa na tatizo hawalitatu kwa haraka
Binafsi nishasababushiwa hasara mala nyingi mpka nagombana na wateja imefikia hatua mtu akisema nakulipa kupitia nmb naogopa nakuwa sina uwakika na hiyo hela
Nmb wanapaswa kujitafakari