Makosa ya miaka mitano ya Hayati Magufuli yanasahihishwa sasa. Hongera CHADEMA kwa kuongoza hili kwa ufundi mkubwa

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
16,397
22,358
Kumekuwa na mijadala mikubwa ikiendelea nchini sasa kuhusu yale yanayoitwa maridhiano ya kisiasa. Kimsingi ni maridhiano kati ya chama tawala na vyama vya upinzani. Lakini haikupaswa kuwa hivyo tu, wapo watu binafsi, mashirika na makampuni binafsi na hata baadhi ya nchi ambazo kipindi cha utawala wa Magufuli walivurugwa na kusababisha maumivu makubwa. Tanzania ilipoteza sifa yake ya kimataifa kama taifa la haki na amani.

Nayaunga mkono maridhiano yanayoendelea hivi sasa. Rais Samia ameonesha utayari kwa kiasi kikubwa na nina imani yapo mengi sana yatafunguka na hii itaifanya nchi yetu kurudia tena kuwa taifa lenye kuaminika katika medani za haki na amani.

Zaidi sana nawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa ufundi mkubwa wa kuongoza na kuleta maridhiano yenye kuleta haki na amani. Wale msiopenda maridhiano ni watu wasioitakia mema nchi yetu na mtabaki kuponda jitihada hizi kwani mlifaidika na dhuluma zilizokuwepo. Hongera Samia, Mbowe na wote wenye mapenzi mema.
 
Kumekuwa na mijadala mikubwa ikiendelea nchini sasa kuhusu yale yanayoitwa maridhiano ya kisiasa. Kimsingi ni maridhiano kati ya chama tawala na vyama vya upinzani. Lakini haikupaswa kuwa hivyo tu, wapo watu binafsi, mashirika na makampuni binafsi na hata baadhi ya nchi ambazo kipindi cha utawala wa Magufuli walivurugwa na kusababisha maumivu makubwa. Tanzania ilipoteza sifa yake ya kimataifa kama taifa la haki na amani.

Nayaunga mkono maridhiano yanayoendelea hivi sasa. Rais Samia ameonesha utayari kwa kiasi kikubwa na nina imani yapo mengi sana yatafunguka na hii itaifanya nchi yetu kurudia tena kuwa taifa lenye kuaminika katika medani za haki na amani.

Zaidi sana nawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa ufundi mkubwa wa kuongoza na kuleta maridhiano yenye kuleta haki na amani. Wale msiopenda maridhiano ni watu wasioitakia mema nchi yetu na mtabaki kuponda jitihada hizi kwani mlifaidika na dhuluma zilizokuwepo. Hongera Samia, Mbowe na wote wenye mapenzi mema.
Samia ni kiongozi bora.Mbowe ni kiongozi bora
 
Kumekuwa na mijadala mikubwa ikiendelea nchini sasa kuhusu yale yanayoitwa maridhiano ya kisiasa. Kimsingi ni maridhiano kati ya chama tawala na vyama vya upinzani. Lakini haikupaswa kuwa hivyo tu, wapo watu binafsi, mashirika na makampuni binafsi na hata baadhi ya nchi ambazo kipindi cha utawala wa Magufuli walivurugwa na kusababisha maumivu makubwa. Tanzania ilipoteza sifa yake ya kimataifa kama taifa la haki na amani.

Nayaunga mkono maridhiano yanayoendelea hivi sasa. Rais Samia ameonesha utayari kwa kiasi kikubwa na nina imani yapo mengi sana yatafunguka na hii itaifanya nchi yetu kurudia tena kuwa taifa lenye kuaminika katika medani za haki na amani.

Zaidi sana nawapongeza viongozi wa CHADEMA kwa ufundi mkubwa wa kuongoza na kuleta maridhiano yenye kuleta haki na amani. Wale msiopenda maridhiano ni watu wasioitakia mema nchi yetu na mtabaki kuponda jitihada hizi kwani mlifaidika na dhuluma zilizokuwepo. Hongera Samia, Mbowe na wote wenye mapenzi mema.
Mh 🤔🤔!! Inamaana awamu ya tano kulikua na makosa? Mh mbona tuliambiwa na tunaendelea kuambiwa kua ni awamu ya wazalendo ya kupambana na ufisadi na mabeberu!!
 
"A wise woman wishes to be no one's enemy; a wise woman refuses to be anyone's victim."
Happy Women's Day to strong, intelligent, talented and simply wonderful women! Don't ever forget that you are loved and appreciated.
 
Upuuzi mtupu! Badala ya makosa kusahihishwa ndiyo ujinga unaongezeka.Watu maisha yamekuwa magumu, bidhaa zimepanda bei, ajira hakuna, umeme majo mgao n.k n.k huku viongozi wako busy na semina makongamano na ulambaji asali alafu mtu anadiriki kusema kurekebisha??? Upuuzi mtupu!
 
Upuuzi mtupu! Badala ya makosa kusahihishwa ndiyo ujinga unaongezeka.Watu maisha yamekuwa magumu, bidhaa zimepanda bei, ajira hakuna, umeme majo mgao n.k n.k huku viongozi wako busy na semina makongamano na ulambaji asali alafu mtu anadiriki kusema kurekebisha??? Upuuzi mtupu!
Bidhaa zikipanda bei ndio wanasiasa wasikae pamoja wakamaliza tofauti zao?

Mna mihemko ya ajabu sana, punguzeni harakati zisizo na maana kwenye kila jambo, wakati mwingine badala ya kumaliza matatizo, ndio mtayakuza kwa ujinga wenu.

Tatizo la kupanda bidhaa bei linaendelea kuzungumziwa kwenye majukwaa yake kwa wakati wake, lakini na mengine lazima yachukue nafasi.
 
Makosa yanayofanyika sasa itachukua karne mbili kuyarekebisha.
Sijaona makosa makubwa zaidi ya yale ya kuokota watu wamefungwa kwenye viroba kama bidhaa, ule ushenzi naomba Mungu usijirudie milele kwenye hili taifa.
 
Sijaona makosa makubwa zaidi ya yale ya kuokota watu wamefungwa kwenye viroba kama bidhaa, ule ushenzi naomba Mungu usijirudie milele kwenye hili taifa.
Na ndio tatizo lilipo yani bado tunaangali makosa yaliyopita tukija kushtuka haya makosa ya sasa yashakomaa. Samia hawezi kuwa Rais kwa kuondoa makosa tu yaliyopita.
 
Kwani kuna wakati bidhaa hazijawahi kupanda bei nchi hii? Kuna wakati ajira za maana zimewahi kutosha? Kuna utawala umeme na maji havijawahi kuwa vya mgao??
Wewe kilza unaandika tu kama kuku aliyekatwa kichwa akaachwa aruke ruke.
Upuuzi mtupu! Badala ya makosa kusahihishwa ndiyo ujinga unaongezeka.Watu maisha yamekuwa magumu, bidhaa zimepanda bei, ajira hakuna, umeme majo mgao n.k n.k huku viongozi wako busy na semina makongamano na ulambaji asali alafu mtu anadiriki kusema kurekebisha??? Upuuzi mtupu!
 
Bidhaa zikipanda bei ndio wanasiasa wasikae pamoja wakamaliza tofauti zao?

Mna mihemko ya ajabu sana, punguzeni harakati zisizo na maana kwenye kila jambo, wakati mwingine badala ya kumaliza matatizo, ndio mtayakuza kwa ujinga wenu.

Tatizo la kupanda bidhaa bei linaendelea kuzungumziwa kwenye majukwaa yake kwa wakati wake, lakini na mengine lazima yachukue nafasi.
Wanasiasa wakimalizana tofauti zao wananchi wanafaidika nini, kwamba kila mmoja atapatiwa mbolea ya ruzuku? Au unadhani kila mwananchi anahangaikia nafasi za kisiasa?
 
Mh 🤔🤔!! Inamaana awamu ya tano kulikua na makosa? Mh mbona tuliambiwa na tunaendelea kuambiwa kua ni awamu ya wazalendo ya kupambana na ufisadi na mabeberu!!
Tulidanganywa saana na sasa baadhi yetu tumeanza kufunguka macho.
 
Sijaona makosa makubwa zaidi ya yale ya kuokota watu wamefungwa kwenye viroba kama bidhaa, ule ushenzi naomba Mungu usijirudie milele kwenye hili taifa.
Watu wanakufa hospitalini kwa kukosa dawa watu wanakufa kwa ajali kwa ubovu wa miundombinu wewe unaongea upuuzi gani?? Viongozi wako busy na semina hafla na mambo ya kipuuzi! Hakuna miradi ua maana ya maendeleo! Ujinga mtupu
 
Kwani kuna wakati bidhaa hazijawahi kupanda bei nchi hii? Kuna wakati ajira za maana zimewahi kutosha? Kuna utawala umeme na maji havijawahi kuwa vya mgao??
Wewe kilza unaandika tu kama kuku aliyekatwa kichwa akaachwa aruke ruke.
Kipindi cha Magu hamkuwa mkisema hivyo.
 
Kwani kuna wakati bidhaa hazijawahi kupanda bei nchi hii? Kuna wakati ajira za maana zimewahi kutosha? Kuna utawala umeme na maji havijawahi kuwa vya mgao??
Wewe kilza unaandika tu kama kuku aliyekatwa kichwa akaachwa aruke ruke.
Unajivunia upuuzi? Hizo asali sijui mnalambia matacle? Mambo yanaenda hovyo chawa uko busy kusifia upuuzi!
 
Back
Top Bottom