Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,312
- 152,113
Wasipokuwa waangalifu watazua ya kuzua kidini....Nakumbuka niliwahi kuleta mada kuhusu nyumba za ibada kufungu vipaza sauti na kusababisha kero kwa wakazi wanaoishi jirani na nyumba hizo na wengi tulitaka vipaza sauti hivi vidhibitiwe kuondoa kero ya kelele
Leo gazeti la Uhuru linaongozwa na habari inayoongelea keleke za usiku za Makanisa ya Kilokole kudhibitiwa.
Tunaishauri serikali isiishie kwenye Makanisa bali hata Misikiti ambayo nayo inayofunga vipaza sauti na kusabisha kero ya kelele kwa wanaoishi jirani na Misikiti hiyo.
Hata mimi nashangaa sana, baa zinapiga kelele kuliko hata makanisa na misikiti.Tunaweza zuia haya ya watu wanaokesha wakiliombea taifa hili,tukaacha ya kwenye mabar na disco yaendelee kutupigia kelele Mungu atusaidie kutupa mwongozo juu ya hili
busara itumikeHata mimi nashangaa sana, baa zinapiga kelele kuliko hata makanisa na misikiti.
Nimepost hapo juu kuwa wasipokuwa waangalifu watazua ya kuzua kidini KWA SABABU TUNA WATU WENYE FIKRA HASI KAMA WEWE...kwani ni lazima serikali ikifanya jambo fulani kwa Watu wa imani fulani lazima ibalance ndo ujisikie sawa?, kama unataka hivyo basi washauri watawala wawe wanateua na waislamu kwa wingi kama wanavyoteuliwa wakiristo katika nafasi za maamuzi nchini.
Bora kelele za makanisa na musikiti ila sio baa za walevi, waanze kwanza na baa kisha busara itumike kwenye nyumba hizo za ibada.busara itumike
Hawa jamaa her wafungiwe watotowetu hawasomi kilasiku ni mikesha jaman.....Wasipokuwa waangalifu watazua ya kuzua kidini....
Bar zinafungwa sanne usiku makanisa mpaka asubuhi bado wanaiHata mimi nasmba tuhangaa sana, baa zinapiga kelele kuliko hata makanisa na misikiti.
Nasema yafungwe bar zinafungwa saanne usuiku makanisa mpaka asubuhi bado watu wanalia na kuimba watoti wetu hawawez kujisomea na wagonjwa wanashindwa kupumzika ,na makanisa mwisho wa mkesha iwe saanne usikuHata mimi nashangaa sana, baa zinapiga kelele kuliko hata makanisa na misikiti.
Devil worshippers ni wale wanajidai kukesha huku wanaimba kwa nguvu na na kelele nyingi ili wasikike ,kama mafarisayo ,kumuabudu mungu sio mpaka ufunge vipaza sauti ...unaweza kuingia ndan ya chumba cha siri umuombe Mungu wako naye atakujazi...kipindi vha yesu watu kama hao aliwapinga ,wanao kaa njii za makutano wakisali kwa nguvu ili wasikikeSoon devil's worshippers watajidhiirisha hadharani
Kuna watu hawajui uchafuzi wa mazingira ni nini...Labda ni bora wachangiaji wa mada hii wakaacha kutanguliza hisia za dini zao. Uamuzi wa RC Arusha ni kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (NEMA) na kanuni zake zilizotoka mwaka jana. Anayetaka kuhubiri mitaani anawajibika kuwa na sound-proof facility/ukumbi kusudi mahubiri yake (ya kiislam au kikristo) yasibughudhi watu wengine. Kwa kimombo NEMA inadhibiti sound polution!
vile unavyoaminiKuna neno au unafiki tu siku hizi!
Dhambi mbaya sana hii inalitafuna taifa. Jiondoe kwenye mkumbo huu.kwani ni lazima serikali ikifanya jambo fulani kwa Watu wa imani fulani lazima ibalance ndo ujisikie sawa?, kama unataka hivyo basi washauri watawala wawe wanateua na waislamu kwa wingi kama wanavyoteuliwa wakiristo katika nafasi za maamuzi nchini.