Shehe atakuwa Chadema we Simbilisi?πMkuu, tuweke msala chini tufungue kitabu? Utakuwa chizi na utasumbua nduguzo kukutibu
Haya ni maneno yako, usimuwekee Kadogo mdomoni. Hakutaja mtuKama ndani ya chama wamemvumilia wamemchoka, wanamuita mropokaji na muongo, je kama taifa tunabidi tukae chini na kuanza kumtathmini Lissu upya?
Kama ana nafasi ndogo tu katika taifa anaropoka maneno hovyo hovyo, huyu anapaswa kuongoza taasisi kama kiongozi mkuu?
Kama chadema ina uozo, he si kweli kwamba Lissu alikuwa mshauri mkuu wa uozo huo?
Uchaguzi huu unaweza kummaliza Lissu kisiasa kuliko Mbowe, ninsuala la mtu kukaa na kumfanyia analysis tu, na kumuanika.
Nje ya tusheria anatojua, ni mweupe pee!
Haya ni maneno yako, Kadogo haja taja jina la mtuKama ndani ya chama wamemvumilia wamemchoka, wanamuita mropokaji na muongo, je kama taifa tunabidi tukae chini na kuanza kumtathmini Lissu upya?
Kama ana nafasi ndogo tu katika taifa anaropoka maneno hovyo hovyo, huyu anapaswa kuongoza taasisi kama kiongozi mkuu?
Kama chadema ina uozo, he si kweli kwamba Lissu alikuwa mshauri mkuu wa uozo huo?
Uchaguzi huu unaweza kummaliza Lissu kisiasa kuliko Mbowe, ninsuala la mtu kukaa na kumfanyia analysis tu, na kumuanika.
Nje ya tusheria anatojua, ni mweupe pee!
Ni hatari sana kwa mstakabari wa demokrasia nchini huyu mtu.Mimi huwa nawaza lile panki analonyoa, nadhani pale juu ya kichwa kutakuwa na tatizo
Kabisa, Lissu atakuwa ameporomoka sana kisiasa baada ya uchaguzi huu.Kama ndani ya chama wamemvumilia wamemchoka, wanamuita mropokaji na muongo, je kama taifa tunabidi tukae chini na kuanza kumtathmini Lissu upya?
Kama ana nafasi ndogo tu katika taifa anaropoka maneno hovyo hovyo, huyu anapaswa kuongoza taasisi kama kiongozi mkuu?
Kama chadema ina uozo, he si kweli kwamba Lissu alikuwa mshauri mkuu wa uozo huo?
Uchaguzi huu unaweza kummaliza Lissu kisiasa kuliko Mbowe, ninsuala la mtu kukaa na kumfanyia analysis tu, na kumuanika.
Nje ya tusheria anatojua, ni mweupe pee!
Nani anamjua huyu shekhe Kadogoo??Shehe Ubwabwa huyo π
Spin Doctors.Ni hatari sana kwa mstakabari wa demokrasia nchini huyu mtu.
Kisomo Cha Tanga kimeivuruga Chadema bila kutegemea πSawa, ngoja niwapigie wenzangu waje na udi na ubani, baadae tumalizie na makopela, hata uende kwa Msisi hutoboi. Ukipata sana, ni 500 ya vocha kwa ajili ya bando
DuhπLissu ana tatizo la kiakili lijulikanalo kama Epilepsy, ambalo limempelekea kuwa na social stigma.