Hili ndio lilikuwa lengo lako.Eti MTU Anaota kuanguka kwa Marekani.
Russia iko wapi?
Umempiga kwenye kiuno,hazai tenaHili ndio lilikuwa lengo lako.
Sawa tumekuskia Anko Biden.
Silaha zinazotumika kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe Afrika hutoka Urusi na China.Tutajie hata faida moja tu ya msingi kwa Afrika kwa makampuni hayo kuzalisha kwa wingi sana silaha zaidi ya maumivu tuyapatayo kwa kugombanishwa wenyewe kwa wenyewe kwa faida yao wamarekani?
Hizo silaha zitokazo china na Urusi hupewa serikali halali zilizo mamlakani, ila makundi ya wahuni Hupewa silaha na western kuvuruga utulivu ili kupora rasilimali za eneo husika kwakuwa serikali kuu zinakuwa hazitawali eneo hilo, fuatilia maeneo yote ya migogoro barani afrika na middle East!!Silaha zinazotumika kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe Afrika hutoka Urusi na China.
Lockheed Martin hawatengenezi silaha ndogo ndogo kama rifles na grenades zinazotumiwa na rebelsHizo silaha zitokazo china na Urusi hupewa serikali halali zilizo mamlakani, ila makundi ya wahuni Hupewa silaha na western kuvuruga utulivu ili kupora rasilimali za eneo husika kwakuwa serikali kuu zinakuwa hazitawali eneo hilo, fuatilia maeneo yote ya migogoro barani afrika na middle East!!
Sasa kwanini mpaka leo wanashindwa kutengeneza hypersonic missiles?
Bali hus-sponsor viwanda vidogo vidogo vya nchini mwao kutengeneza rifles na granades mwisho wa siku zinatumwa afrika kwa maslahi yao hao hao majangili makubwa...Lockheed Martin hawatengenezi silaha ndogo ndogo kama rifles na grenades zinazotumiwa na rebels
Ngumu sana kukuta waasi na vitu vya gharama kwanza wengi wao chunguza kwanzia rifle ni ma AK, Granade ni ma F1 ya jamaa wale.Hizo silaha zitokazo china na Urusi hupewa serikali halali zilizo mamlakani, ila makundi ya wahuni Hupewa silaha na western kuvuruga utulivu ili kupora rasilimali za eneo husika kwakuwa serikali kuu zinakuwa hazitawali eneo hilo, fuatilia maeneo yote ya migogoro barani afrika na middle East!!
Hizo ni kampuni binafsi ambazo huegeze cha juu kwenye product zao ili pia wapate hela ya kuwahonga wanasiasa kama Nancy Pelos huwezi lingsnisha state own company .marekani kitu cha 5000 kunaweza trngenezwa kwa 120,000
Shida wana dhan marekani mpuuzi kuwa ata jitangaza inshu zake wazi wazi. US akili mingi