KERO Maji jijini Mwanza imekuwa kero sugu, wanafunzi tunapata shida sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

mandoga 19

New Member
Feb 13, 2025
2
0
Maji huku Mwanza imekuwa ni kero kubwa sana, wanachuo tunaishi kwa tabu sana tunapata shida kubwa ya maji ilihal tuko karibu na ziwa Victoria

Sijui mnatusaidiaje kuepukana na hili. Tunalipia bili za maji kwa wakati lakini bado maji kuyapata ni changamoto.

Ni siku ya 4 sasa maji hayatoki
 
Back
Top Bottom