Majengo ya kusubiria abiria Ferry Magogoni na Ferry Kigamboni ni kama jela/mahabusu

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
8,339
16,474
Inasikitisha sana majengo yetu ya ferry za Magogoni na Kigamboni kuwa kama mahabusu.

Ndani mnalundikwa utadhani mbuzi wako Vingunguti wanasubiri kuchinjwa.

Hamna viburudisho wala miundombinu rafiki.

Serikali heshimuni afya na haki za wateja wa vivuko vyenu, wanahitaji mazingira mazuri na rafiki. Usafiri wa umma sio adhabu
 
Abiria mnaondelea kuscan kadi tafadhali fuata utaratibu......

Kwa abiria ambaye hauna kadi fika dirishani ama onana na mawakala ujipatie kadi yako.....

Abiria tunaomba radhi Kuna meli inaingia hivyo tuendelee kusubiri....

Abiria mnaotumia magari mnashauriwa kutumia njia mbadala ya daraja la Nyerere..... Kuepuka kuchelewa.....

Montecarooo primary and secondary school 😂😂
 
Inasikitisha sana majengo yetu ya ferry za Magogoni na Kigamboni kuwa kama mahabusu.

Ndani mnalundikwa utadhani mbuzi wako Vingunguti wanasubiri kuchinjwa.

Hamna viburudisho wala miundombinu rafiki.

Serikali heshimuni afya na haki za wateja wa vivuko vyenu, wanahitaji mazingira mazuri na rafiki. Usafiri wa umma sio adhabu
Yaani kwa mimi nayejua minada ya mbuzi nakuunga mkono yaani kama pugu mnadani
 
Inasikitisha sana majengo yetu ya ferry za Magogoni na Kigamboni kuwa kama mahabusu.

Ndani mnalundikwa utadhani mbuzi wako Vingunguti wanasubiri kuchinjwa.

Hamna viburudisho wala miundombinu rafiki.

Serikali heshimuni afya na haki za wateja wa vivuko vyenu, wanahitaji mazingira mazuri na rafiki. Usafiri wa umma sio adhabu
Pita nyerere bridge acha ngendembwee
 
Nakuomba wewe tajiri wa matajiri uwasaidie kujenga jengo kubwa kabisa.Maana wewe ni tajiri mkuu wa matajiri
 
Back
Top Bottom