Mwenyezi Mungu ametupa macho na ufahamu ili tusifanye makosa hayo tena. History inatuambia hakuna mahali popote mauwaji ya kisiasa yalileta amani au mataifa hayo kuwa nabutulivu.
Mauaji yakisiasa ni sawa na time boom 💥 ndio maana ma diktator wengi walikufa vifo vibaya au mataifa mengi yameanguka kwa sababu ya dam mara nyingi inasema na huwa inadai haki.
Kwa wale ni wasomi wa Bible mtakumbuka dam ya kaini ilivyo anza kumlilia Mungu mpaka Mungu akamwambia Habili dam ya ndugu yako yanililia.
Habili alipo muuwa ndugu yake hakujuwa kile kitatokea na huwo ndio ukawa mwanzo wa dam nyingi kumwagwa.
Dam ya watu wa Taifa yaweza kugeuka nakuwa chanzo cha mtikisiko wa taifa lolote duniani.
Sadam aliwauwa Kurdishi minority kama panya kwa kuwapylizia sumu nakufikiri angekuwa salama ila ile dam ya kurdishi haikumuacha salama hata baada ya miaka kadhaa na yeye alikuja kufa kifo cha aibu kutokana na mauwaji yale.
Sote tuna kumbuka Libya chini ya mkono wa chuma wa Ghadafi nchi ilisimama ila mauwaji ya wananchi wake na jinsi alianzisha mfumo wakupoteza watu taifa lilimlipukia na mwisho kuuwawa na watu wake na mpaka leo taifa halijapoa.
Mauwaji na dam ya Patrick Lumumba dam ilio mwagwa na wakongo wenyewe imebaki kuwa mwiba wa moto mpaka wa leo tangu kuuwawa kwake mpaka leo Kongo haija tulia.
Nini yatupasa kujifunza sisi watanzania na vyombo vya ulinzi na usalama nikuwa sio kila dam ni yakumwaga kuna dam mtamwaga na zitaliletea taifa shida na mateso huko tuendako.
Nikweli usio pingika uhaini ndani ya Taifa lako ni dhambi isiyo kuwa na msamaha. Niukweli usio pingika uhaini ndani ya Taifa lako adhabu nikifo na kifungo cha maisha. Lakini embu tutafakari inakuwaje siasa zetu za ndani zina leta machungu, visasi na hata mageneza yasio na watu yes majeneza yasio na watu ambayo watu wao wataomboleza mpaka Yesu arudi.
Je tulijiandaa na siasa za vyama vingi au vyama vingi vimekuwa trap kwa walio radical nakuwapoteza je tumewahi jiuliza gharama za hayo yote kwa mtu binafsi na Taifa?
Najuwa mkono wa serikali nimrefu na sisi sote nikondoo au kuku ktk banda ila ila tuingalie kesho maana ipo siku mageneza haya yataziba njia ipo siku mejeneza haya yataifunga kesho ya Taifa hili nakutuweka kwenye mkwamo na mbaya kuliko yote wakati huwo wengi wetu na walio tekeleza unyama huwo watakuwa wamesha lala.
Nilazima tuzuwie dam ya watanzania kumwagika pasipo sababu. Nilazima tuangalie aina ya dam inamwagwa yule mzee wa Tanga kweli sitaki kuamini walio muuwa wapo hai dam ya mzee kama yule kweli? Dam ya wazee kumwagwa ni laana kubwa sana well hatujuwi nini kilimkuta ila inatisha sana.
Mauaji yakisiasa ni sawa na time boom 💥 ndio maana ma diktator wengi walikufa vifo vibaya au mataifa mengi yameanguka kwa sababu ya dam mara nyingi inasema na huwa inadai haki.
Kwa wale ni wasomi wa Bible mtakumbuka dam ya kaini ilivyo anza kumlilia Mungu mpaka Mungu akamwambia Habili dam ya ndugu yako yanililia.
Habili alipo muuwa ndugu yake hakujuwa kile kitatokea na huwo ndio ukawa mwanzo wa dam nyingi kumwagwa.
Dam ya watu wa Taifa yaweza kugeuka nakuwa chanzo cha mtikisiko wa taifa lolote duniani.
Sadam aliwauwa Kurdishi minority kama panya kwa kuwapylizia sumu nakufikiri angekuwa salama ila ile dam ya kurdishi haikumuacha salama hata baada ya miaka kadhaa na yeye alikuja kufa kifo cha aibu kutokana na mauwaji yale.
Sote tuna kumbuka Libya chini ya mkono wa chuma wa Ghadafi nchi ilisimama ila mauwaji ya wananchi wake na jinsi alianzisha mfumo wakupoteza watu taifa lilimlipukia na mwisho kuuwawa na watu wake na mpaka leo taifa halijapoa.
Mauwaji na dam ya Patrick Lumumba dam ilio mwagwa na wakongo wenyewe imebaki kuwa mwiba wa moto mpaka wa leo tangu kuuwawa kwake mpaka leo Kongo haija tulia.
Nini yatupasa kujifunza sisi watanzania na vyombo vya ulinzi na usalama nikuwa sio kila dam ni yakumwaga kuna dam mtamwaga na zitaliletea taifa shida na mateso huko tuendako.
Nikweli usio pingika uhaini ndani ya Taifa lako ni dhambi isiyo kuwa na msamaha. Niukweli usio pingika uhaini ndani ya Taifa lako adhabu nikifo na kifungo cha maisha. Lakini embu tutafakari inakuwaje siasa zetu za ndani zina leta machungu, visasi na hata mageneza yasio na watu yes majeneza yasio na watu ambayo watu wao wataomboleza mpaka Yesu arudi.
Je tulijiandaa na siasa za vyama vingi au vyama vingi vimekuwa trap kwa walio radical nakuwapoteza je tumewahi jiuliza gharama za hayo yote kwa mtu binafsi na Taifa?
Najuwa mkono wa serikali nimrefu na sisi sote nikondoo au kuku ktk banda ila ila tuingalie kesho maana ipo siku mageneza haya yataziba njia ipo siku mejeneza haya yataifunga kesho ya Taifa hili nakutuweka kwenye mkwamo na mbaya kuliko yote wakati huwo wengi wetu na walio tekeleza unyama huwo watakuwa wamesha lala.
Nilazima tuzuwie dam ya watanzania kumwagika pasipo sababu. Nilazima tuangalie aina ya dam inamwagwa yule mzee wa Tanga kweli sitaki kuamini walio muuwa wapo hai dam ya mzee kama yule kweli? Dam ya wazee kumwagwa ni laana kubwa sana well hatujuwi nini kilimkuta ila inatisha sana.