Kama kichwa cha habari kinavojieleza habari ambazo zina trend kwa sasa ni kwa Majenerali wa Jeshi la Israel kuitaka serikali ya Netanyahu kusitisha vita huko Gaza ili mateka wakombolewe salama na pia kuepusha vita na Hesbollah ya Lebanon kitu ambacho wao wanaona hakuna msingi huo hata kama Hamas wataendelea kubakia Gaza.
Hii inatokana na askari wa majeshi ya Israel kuchoka kupigana na kupelekea wengine ama kuacha jeshi au kuomba kuondolewa jeshini wakati huohuo ikíkabiliwa na upungufu mkubwa wa wapiganaji katika uwanja wa mapambano.
Habari zaidi zinapatikana katika vyombo vya habari mbalimbali duniani likiwemo gazeti maarufu la Israel "HAAERTZ''
Hii inatokana na askari wa majeshi ya Israel kuchoka kupigana na kupelekea wengine ama kuacha jeshi au kuomba kuondolewa jeshini wakati huohuo ikíkabiliwa na upungufu mkubwa wa wapiganaji katika uwanja wa mapambano.
Habari zaidi zinapatikana katika vyombo vya habari mbalimbali duniani likiwemo gazeti maarufu la Israel "HAAERTZ''