Mahmoud Abbas amechanganyikiwa. Isingekuwa ulinzi wa Israel Hamas wangemuweka ndani

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
9,644
15,143
Hajielewi hata anachosema.
Israel inaua na kuvunja majengo na kunyang'anya mashamba ndani ya maeneo yanayotajwa yako chini ya mamlaka yake na hakuna Hamas.

Israel katika mapendekezo yote ya kumaliza vita imeshaweka wazi inakataa eneo la Gaza kuwekwa chini ya mamlaka ya Palestina inayoongozwa naye.Wamesema hiyo ni ndoto.

Kuna kitengo kimeundwa kurahisisha wapalestina wahamishwe Gaza bila kutaja sharti ni iwapo Hamas watakataa kusalimisha silaha.Maana yake ni kuwa matakwa hayo ya mayahudi hayahusiani na Hamas.Mahmoud Abbas anataka wapelekwe wapi.

Tangu kukaa kwake madarakani mbona hajasaidia kuachiwa hata mfungwa mmoja kinyume na maelfu wa ukanda wa magharibi aliko yeye walivyoachiwa kwa msaada wa Hamas.

Mzee amekuwa mzee asiye na hekima na aliyetoka nje ya matakwa ya akina Yasser Arafat
 
Mtu mweusi bhana! Kiongozi wa Mamlaka ya Palestina kafanya maamuzi kwa niaba ya anaowaongoza, eti mtu mmoja mweusi wa Kagongwa anapinga!
Sisi ya kwetu ni maoni tu.Wanaompinga hasa wako huko huko Palestina.Wanamuona kama kibaraka wa Israel.
 
Mtu mweusi bhana! Kiongozi wa Mamlaka ya Palestina kafanya maamuzi kwa niaba ya anaowaongoza, eti mtu mmoja mweusi wa Kagongwa anapinga!
Sisi ya kwetu ni maoni tu.Wanaompinga hasa wako huko huko Palestina.Wanamuona kama kibaraka wa Israel.
 
Hajielewi hata anachosema.
Israel inaua na kuvunja majengo na kunyang'anya mashamba ndani ya maeneo yanayotajwa yako chini ya mamlaka yake na hakuna Hamas.

Israel katika mapendekezo yote ya kumaliza vita imeshaweka wazi inakataa eneo la Gaza kuwekwa chini ya mamlaka ya Palestina inayoongozwa naye.Wamesema hiyo ni ndoto.

Kuna kitengo kimeundwa kurahisisha wapalestina wahamishwe Gaza bila kutaja sharti ni iwapo Hamas watakataa kusalimisha silaha.Maana yake ni kuwa matakwa hayo ya mayahudi hayahusiani na Hamas.Mahmoud Abbas anataka wapelekwe wapi.

Tangu kukaa kwake madarakani mbona hajasaidia kuachiwa hata mfungwa mmoja kinyume na maelfu wa ukanda wa magharibi aliko yeye walivyoachiwa kwa msaada wa Hamas.

Mzee amekuwa mzee asiye na hekima na aliyetoka nje ya matakwa ya akina Yasser Arafat
Ndg Yangu mbona una uchungu na Palestina kuliko hata wapalestina wenyewe?

Hivyo wewe ni mpalestina mazalendo kuliko Abbas rais wao?
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Ndg Yangu mbona una uchungu na Palestina kuliko hata wapalestina wenyewe?

Hivyo wewe ni mpalestina mazalendo kuliko Abbas rais wao?
Umewahi kutafuta maoni ya wapalestina ukaona kati ya Mahmoud Abbas na genge lake ni wangapi wanaowachukia Hamas na wanaoipenda Palestina.
 
Hajielewi hata anachosema.
Israel inaua na kuvunja majengo na kunyang'anya mashamba ndani ya maeneo yanayotajwa yako chini ya mamlaka yake na hakuna Hamas.

Israel katika mapendekezo yote ya kumaliza vita imeshaweka wazi inakataa eneo la Gaza kuwekwa chini ya mamlaka ya Palestina inayoongozwa naye.Wamesema hiyo ni ndoto.

Kuna kitengo kimeundwa kurahisisha wapalestina wahamishwe Gaza bila kutaja sharti ni iwapo Hamas watakataa kusalimisha silaha.Maana yake ni kuwa matakwa hayo ya mayahudi hayahusiani na Hamas.Mahmoud Abbas anataka wapelekwe wapi.

Tangu kukaa kwake madarakani mbona hajasaidia kuachiwa hata mfungwa mmoja kinyume na maelfu wa ukanda wa magharibi aliko yeye walivyoachiwa kwa msaada wa Hamas.

Mzee amekuwa mzee asiye na hekima na aliyetoka nje ya matakwa ya akina Yasser Arafat
Ujinga unapokuwa mzigo. Kwahiyo wafungwa 2000 waachiwe halafu walio huru 60000 wauawe hiyo ndio akili. Pumbavu kabisa. Hata hizo ardhi zilizochukuliwa si ni kwasababu ya Hamas, kama sio kuvamia hiyo Oct 7 hizo mambo zingekuwepo? Unajua athari jamii ya Gaza mpaka sasa. Watoto hakuna shule kila siku mabomu ni kukimbia na sasa hiv wanaeda kuhamishwa upuuz kabisa. Hamas ni wasengerema waliochangamka
 
Ujinga unapokuwa mzigo. Kwahiyo wafungwa 2000 waachiwe halafu walio huru 60000 wauawe hiyo ndio akili. Pumbavu kabisa. Hata hizo ardhi zilizochukuliwa si ni kwasababu ya Hamas, kama sio kuvamia hiyo Oct 7 hizo mambo zingekuwepo? Unajua athari jamii ya Gaza mpaka sasa. Watoto hakuna shule kila siku mabomu ni kukimbia na sasa hiv wanaeda kuhamishwa upuuz kabisa. Hamas ni wasengerema waliochangamka
Karibuni yataisha hayo.
 
Wairan weusi wanataka vita kwa wenzao tu walioshindwa vita waendeleze ikiwezwkana wamalizwe wote.. Arabs washachoka vita wasivyoviweza wanataka Amani nyie wairan piganeni wenyewe imefika zamu yenu... wale pilot wa kike waliwaonjesha kidogo utamu wa vita dhidi ya Israel mkaishia kukaa kimya hadi leo hamtaki kutekeleza promises 3
 
Hajielewi hata anachosema.
Israel inaua na kuvunja majengo na kunyang'anya mashamba ndani ya maeneo yanayotajwa yako chini ya mamlaka yake na hakuna Hamas.

Israel katika mapendekezo yote ya kumaliza vita imeshaweka wazi inakataa eneo la Gaza kuwekwa chini ya mamlaka ya Palestina inayoongozwa naye.Wamesema hiyo ni ndoto.

Kuna kitengo kimeundwa kurahisisha wapalestina wahamishwe Gaza bila kutaja sharti ni iwapo Hamas watakataa kusalimisha silaha.Maana yake ni kuwa matakwa hayo ya mayahudi hayahusiani na Hamas.Mahmoud Abbas anataka wapelekwe wapi.

Tangu kukaa kwake madarakani mbona hajasaidia kuachiwa hata mfungwa mmoja kinyume na maelfu wa ukanda wa magharibi aliko yeye walivyoachiwa kwa msaada wa Hamas.

Mzee amekuwa mzee asiye na hekima na aliyetoka nje ya matakwa ya akina Yasser Arafat
wewe akili huna kweli ukiangalia hapo Hamas wanasaidia wapalestina wanaendelea kufa kama kuku huku Hamas inawang'ang'ania mateka 59 Sasa Hamas wanapambana Nini kushindwa kulinda raia wa gaza
 
Hajielewi hata anachosema.
Israel inaua na kuvunja majengo na kunyang'anya mashamba ndani ya maeneo yanayotajwa yako chini ya mamlaka yake na hakuna Hamas.

Israel katika mapendekezo yote ya kumaliza vita imeshaweka wazi inakataa eneo la Gaza kuwekwa chini ya mamlaka ya Palestina inayoongozwa naye.Wamesema hiyo ni ndoto.

Kuna kitengo kimeundwa kurahisisha wapalestina wahamishwe Gaza bila kutaja sharti ni iwapo Hamas watakataa kusalimisha silaha.Maana yake ni kuwa matakwa hayo ya mayahudi hayahusiani na Hamas.Mahmoud Abbas anataka wapelekwe wapi.

Tangu kukaa kwake madarakani mbona hajasaidia kuachiwa hata mfungwa mmoja kinyume na maelfu wa ukanda wa magharibi aliko yeye walivyoachiwa kwa msaada wa Hamas.

Mzee amekuwa mzee asiye na hekima na aliyetoka nje ya matakwa ya akina Yasser Arafat
Ugaidi una Dini moja tu, UISLAMU
Screenshot_20250424_092723.jpg

Ona walichofanya Pahalgam India

View: https://x.com/MeghUpdates/status/1915276197082079339
 
Wewe ndio mwanaharakati wa Kipalestina, nipatie huo utafiti
Ilikuea uanze wewe uliyeona Mahmoud Abbas ni bora kuliko Hama.
Haina neno nakupa utafiti mwepesi uliozidi takwimu nao ni maandamano yanayofanyika vyuo vya Elimu Harvad na Yale na mitaa ya miji mbali mbali ulimwenguni wote hao wanaunga mkono misimamo ya kupigania haki za wapalestina kama wanavyofanya Hamas na wala sio misimamo ya Mahmoud Abbas
 
Hajielewi hata anachosema.
Israel inaua na kuvunja majengo na kunyang'anya mashamba ndani ya maeneo yanayotajwa yako chini ya mamlaka yake na hakuna Hamas.

Israel katika mapendekezo yote ya kumaliza vita imeshaweka wazi inakataa eneo la Gaza kuwekwa chini ya mamlaka ya Palestina inayoongozwa naye.Wamesema hiyo ni ndoto.

Kuna kitengo kimeundwa kurahisisha wapalestina wahamishwe Gaza bila kutaja sharti ni iwapo Hamas watakataa kusalimisha silaha.Maana yake ni kuwa matakwa hayo ya mayahudi hayahusiani na Hamas.Mahmoud Abbas anataka wapelekwe wapi.

Tangu kukaa kwake madarakani mbona hajasaidia kuachiwa hata mfungwa mmoja kinyume na maelfu wa ukanda wa magharibi aliko yeye walivyoachiwa kwa msaada wa Hamas.

Mzee amekuwa mzee asiye na hekima na aliyetoka nje ya matakwa ya akina Yasser Arafat
Mahmoud Abbas yupo eneo la tukio miaka yote hii, na ni kiongozi wa wapalestina. Wewe upo Dar na unaokoteza habari kwenye mitandao na vijiweni. Unafikiri unaelewa zaidi masuala ya wapalestina kuliko yeye?
 
Mahmoud Abbas yupo eneo la tukio miaka yote hii, na ni kiongozi wa wapalestina. Wewe upo Dar na unaokoteza habari kwenye mitandao na vijiweni. Unafikiri unaelewa zaidi masuala ya wapalestina kuliko yeye?
Hamas ndio wako maeneo nyeti zaidi ya matukio kuliko yeye.Nani anaelewa zaidi kati yao.
 
Back
Top Bottom