Mahakama ya Kimataifa ICC: Uchunguzi dhidi ya Uhalifu wa kivita DRC unaendelea

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
May 10, 2021
552
719
Mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita Mh Karim khan amesema mahakama ya ICC na mamlaka za DRC zinashirikiana kuchunguza madhila na madhara ya uhalifu huo, aidha Khan amesema ushahidi bado unaendelea kukusanywa ili kuwabaini pasipo shaka wahusika wote waliohusika na uhalifu wa kivita nchini DRC ili hati ya kukamatwa na kushitakiwa iweze kutolewa tayari kwa mashauri ya kisheria katika mahakama hiyo, Mwendesha mashitaka Mkuu ameyasema hayo alipokutana na Rais wa DRC Felix Tshisekedi mapema leo.
 

Attachments

  • 58823118.jpg
    58823118.jpg
    358.3 KB · Views: 1
Mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita Mh Karim khan amesema mahakama ya ICC na mamlaka za DRC zinashirikiana kuchunguza madhila na madhara ya uhalifu huo, aidha Khan amesema ushahidi bado unaendelea kukusanywa ili kuwabaini pasipo shaka wahusika wote waliohusika na uhalifu wa kivita nchini DRC ili hati ya kukamatwa na kushitakiwa iweze kutolewa tayari kwa mashauri ya kisheria katika mahakama hiyo, Mwendesha mashitaka Mkuu ameyasema hayo alipokutana na Rais wa DRC Felix Tshisekedi mapema leo.
Viz
Mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita Mh Karim khan amesema mahakama ya ICC na mamlaka za DRC zinashirikiana kuchunguza madhila na madhara ya uhalifu huo, aidha Khan amesema ushahidi bado unaendelea kukusanywa ili kuwabaini pasipo shaka wahusika wote waliohusika na uhalifu wa kivita nchini DRC ili hati ya kukamatwa na kushitakiwa iweze kutolewa tayari kwa mashauri ya kisheria katika mahakama hiyo, Mwendesha mashitaka Mkuu ameyasema hayo alipokutana na Rais wa DRC Felix Tshisekedi mapema leo.
Vizuri Sana kwa hatua hii
 
Mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita Mh Karim khan amesema mahakama ya ICC na mamlaka za DRC zinashirikiana kuchunguza madhila na madhara ya uhalifu huo, aidha Khan amesema ushahidi bado unaendelea kukusanywa ili kuwabaini pasipo shaka wahusika wote waliohusika na uhalifu wa kivita nchini DRC ili hati ya kukamatwa na kushitakiwa iweze kutolewa tayari kwa mashauri ya kisheria katika mahakama hiyo, Mwendesha mashitaka Mkuu ameyasema hayo alipokutana na Rais wa DRC Felix Tshisekedi mapema leo.
Wamkamate slim
 
Mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita Mh Karim khan amesema mahakama ya ICC na mamlaka za DRC zinashirikiana kuchunguza madhila na madhara ya uhalifu huo, aidha Khan amesema ushahidi bado unaendelea kukusanywa ili kuwabaini pasipo shaka wahusika wote waliohusika na uhalifu wa kivita nchini DRC ili hati ya kukamatwa na kushitakiwa iweze kutolewa tayari kwa mashauri ya kisheria katika mahakama hiyo, Mwendesha mashitaka Mkuu ameyasema hayo alipokutana na Rais wa DRC Felix Tshisekedi mapema leo.
MBOKA NA NGAI ICC inawasubiri
 
Mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita Mh Karim khan amesema mahakama ya ICC na mamlaka za DRC zinashirikiana kuchunguza madhila na madhara ya uhalifu huo, aidha Khan amesema ushahidi bado unaendelea kukusanywa ili kuwabaini pasipo shaka wahusika wote waliohusika na uhalifu wa kivita nchini DRC ili hati ya kukamatwa na kushitakiwa iweze kutolewa tayari kwa mashauri ya kisheria katika mahakama hiyo, Mwendesha mashitaka Mkuu ameyasema hayo alipokutana na Rais wa DRC Felix Tshisekedi mapema leo.
Hii mahakama haina meno kama ilishindwa kumkamata bwana nyau haina maana ifunge ofisi zake tu.
 
Hii mahakama haina meno kama ilishindwa kumkamata bwana nyau haina maana ifunge ofisi zake tu.
Nyau Taifa kubwa na nyau anamtumia USA sana kuinyamazisha ICC kupitia bajeti ya USA kwenda ICC, pili Nyau ndio USA na USA ndio Nyau tofauti na huyu kimbaumbau asie na chochote kimataifa
 
Nyau Taifa kubwa na nyau anamtumia USA sana kuinyamazisha ICC kupitia bajeti ya USA kwenda ICC, pili Nyau ndio USA na USA ndio Nyau tofauti na huyu kimbaumbau asie na chochote kimataifa
Sasa ofisi zake wafunge tu maana kama uwezo ilionao ni kudeal na waafrika tu haina maana. Imeshindwa kumkamata nyau, imeshindwa kumkamata putin, na ilishindwa kuwakamata wanajeshi wa marekani waliotenda uhalifu wa kivita.
 
Sasa ofisi zake wafunge tu maana kama uwezo ilionao ni kudeal na waafrika tu haina maana. Imeshindwa kumkamata nyau, imeshindwa kumkamata putin, na ilishindwa kuwakamata wanajeshi wa marekani waliotenda uhalifu wa kivita.
Kuna vitu dunia ya kwanza iliweka bvitu vinaitwa control bodies kudhibiti dunia ya tatu na kunufaika nayo na waendelee kutunyonya CONTROL BODIES ni kama ifuatavyo:
BENKI YA DUNIA
SHIRIKA LA FEDHA DUNIANI
SHIRIKA LA AFYA DUNIANI
MAHAKAMA YA UHALIFU WA KIVITA
UNICEF
nk hilo elewa tu
 
Back
Top Bottom