Majaji 3 (MLYAMBINA, . KAKOLAKI, NA AGATHO) wa mahakama Kuu Dar wameto uamuzi huo tarehe 13/ 03/2024 kuwa kifungu cha 44(1) na 44(2) (section 44) vya sheria ya Ukomo (Law of limitation Act) vinapingana na katiba na hivyo ni Batili.
1. Vinamnyima mtu haki ya kusikilizwa
2. Vinamnyima mtu haki ya kukata rufaa
3. Vinakuika usawa mele ya sheria
4. Vinakiuka mwendendo wa uendeshaji mashauri (procedural irregularity)
5. Mwisho vinakiuka Katiba
My take: Hawa wamepingana na serikali kitu ambacho mahakama zetu chini ya cj Juma hakipo NA AMEKIKATAZA.
Naogopa hawatauona U-jaji wa Rufaa ( Justice of appeal)
1. Vinamnyima mtu haki ya kusikilizwa
2. Vinamnyima mtu haki ya kukata rufaa
3. Vinakuika usawa mele ya sheria
4. Vinakiuka mwendendo wa uendeshaji mashauri (procedural irregularity)
5. Mwisho vinakiuka Katiba
My take: Hawa wamepingana na serikali kitu ambacho mahakama zetu chini ya cj Juma hakipo NA AMEKIKATAZA.
Naogopa hawatauona U-jaji wa Rufaa ( Justice of appeal)